Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari Jumatano hii alitarajiwa kulitangaza baraza la mawaziri na kwamba angejiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta. Jumanne hii, Buhari alisema jijini New York, anakohudhuria mkutano wa mkuu wa umoja wa mataifa kuwa atajiteua mwenyewe kuongoza wizara hiyo nyeti. Lengo lake ni kuondoa ufisadi na rushwa iliyokithiri kwenye sekta hiyo. Rais huyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1XJtTp0ar3E/VUNhQOFHjCI/AAAAAAAHUds/6pFFdWZLuz8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Balozi Njoolay akabidhi barua ya pongezi kwa Rais Mteule wa Nigeria Generali Mstaafu Muhammadu Buhari
Rais Mteule Jenerali Buhari alimshukuru Rais Kikwete kwa salamu hizo na kukiri kwamba alikwishapokea simu ya pongezi kutoka kwake mara tu baada ya matokeo kutangazwa. Wakati wa mazungumzo yake na Balozi Njoolay, Generali Buhari aliisifu Tanzania kwa...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83263000/jpg/_83263871_83260095.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79678000/jpg/_79678755_79678099.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 May
Nigeria:Muhammadu Buhari kuapishwa leo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nQUbh__NLtY/VRrQl8zitzI/AAAAAAAAALU/0r3yiTNx4lU/s72-c/_82040899_82039612.jpg)
Nigeria election: Muhammadu Buhari set for victory
![](http://2.bp.blogspot.com/-nQUbh__NLtY/VRrQl8zitzI/AAAAAAAAALU/0r3yiTNx4lU/s1600/_82040899_82039612.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mqMbWYPM0Do/VRrRUqH6CCI/AAAAAAAAALc/OfJb1qRKw0w/s1600/_79677984_79674561.jpg)
5 years ago
BBC15 Jun
Nigeria's Muhammadu Buhari orders probe into shooting at presidential palace
10 years ago
BBCSwahili29 May
Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
10 years ago
StarTV03 Jun
Muhamadu Buhari aapishwa kuwa rais wa Nigeria
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/28/150528143127_jonathan_buhari_handover_512x288_nta_nocredit.jpg)
Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
Mshindi wa uchaguzi mkuu nchini Nigeria Muhamadu Buhari ameapishwa kama rais mpya wa nchi hiyo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101952__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani akiwa Abuja
Bwana Buhari ambaye ni kiongozi wa zamani wa kijeshi amechukua uongozi kutoka kwa rais wa zamani Goodluck Jonathan ambaye amemtaka kuiunganisha nchi hiyo wakati inapokabiliana na tisho kutoka kundi la Boko Haram.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101852__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Ethiopia akiwasili Abuja
Buhari anasema kuwa lengo lake ni kupambana ufisadi ambao...