Balozi Njoolay akabidhi barua ya pongezi kwa Rais Mteule wa Nigeria Generali Mstaafu Muhammadu Buhari
![](http://1.bp.blogspot.com/-1XJtTp0ar3E/VUNhQOFHjCI/AAAAAAAHUds/6pFFdWZLuz8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Tarehe 28 Aprili 2015 Balozi wa Tanzania, Nchini Nigeria Mhe. Daniel Ole Njoolay, alimkabidhi Rais Mteule wa Nigeria Generali Mstaafu Muhammadu Buhari, barua ya pongezi toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Mteule Jenerali Buhari alimshukuru Rais Kikwete kwa salamu hizo na kukiri kwamba alikwishapokea simu ya pongezi kutoka kwake mara tu baada ya matokeo kutangazwa. Wakati wa mazungumzo yake na Balozi Njoolay, Generali Buhari aliisifu Tanzania kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83263000/jpg/_83263871_83260095.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79678000/jpg/_79678755_79678099.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 May
Nigeria:Muhammadu Buhari kuapishwa leo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nQUbh__NLtY/VRrQl8zitzI/AAAAAAAAALU/0r3yiTNx4lU/s72-c/_82040899_82039612.jpg)
Nigeria election: Muhammadu Buhari set for victory
![](http://2.bp.blogspot.com/-nQUbh__NLtY/VRrQl8zitzI/AAAAAAAAALU/0r3yiTNx4lU/s1600/_82040899_82039612.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mqMbWYPM0Do/VRrRUqH6CCI/AAAAAAAAALc/OfJb1qRKw0w/s1600/_79677984_79674561.jpg)
5 years ago
BBC15 Jun
Nigeria's Muhammadu Buhari orders probe into shooting at presidential palace
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AMPONGEZA RAIS MTEULE DKT JOHN POMBE MAGUFULI, MAMA ANNA MGHWIRA WA ACT WAZALENZO ATUMA SALAMU ZA PONGEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s640/j1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wgs421RhDug/VjJE07XaeOI/AAAAAAABjeQ/TffZYZUJgGI/s640/j2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...