Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIOSOMA USSR WAMPONGEZA BALOZI MPYA WA MALAYSIA DKT. AZIZI MRIMA

WATAALAMU MBALIMBALI NCHINI WALIOSOMA USSR WALIFANYA SHEREHE KUBWA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 08.08.2014 KWENYE HOTEL YA ANGITTHI ILIYOPO KWENYE BARABARA YA ALLY HASSAN MWINYI MAENEO YA VICTORIA JIJINI DAR-ES-SALAAM.
KATIKA SHEREHE HIYO ILIYOANZA SAA 12.30 JIONI HADI SAA 5.45 USIKU, WASOMI HAO WAKIONESHA IMANI KUBWA KWA DTR. AZIZI MRIMA KWA KUMPONGEZA NA KUMPA ZAWADI KWA KUTEULIWA KWAKE KUWA BALOZI WA TANZANIA NNCHINI MALAYSIA NA KUAHIDI KUMPA USHIRIKIANO WA KARIBU KATIKA KAZI ZAKE ZA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Dkt. Shein aagana na Balozi wa Tanzania Malaysia Dkt. Aziz P. Mlima

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Zanzibar mapema leo aliagana na Balozi wa Tanzania nchin Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima, Ikulu  mjini Zanzibar. Balozi ametakiwa kukuza mahusiano mazuri yaliyopo kati nchi zetu mbili pamoja na zingine zinazowakilishwa na Ubalozi wa Tanzania Malaysia, zikiwepo Indonesia, Phillipines, Thailand, Laos, Cambodia na Brunei. Katika kukuza fursa za kiuchumi, uwekezaji, utalii na teknolojia.

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA SAID CHAKU AMNOA AZIZI RASHIDI KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE NA AZIZI ABDALLAH SIKU YA NYERERE DAY

Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Said Chaku kulia akimwelekeza jinsi ya kupiga makonde bondia Azizi Rashidi anayejitaalisha kwa ajili ya mpambano wake na Azizi Abdallah mpambano utakaofanyika siku ya sikukuu ya Nyerere Day katika ukumbi wa musoma bar tandika Kocha wa mchezo wa ngumi Said chaku kulia akiwaelekeza mabondia wa Gongolamboto jinsi ya kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo jana wakati wa mazoezi ya klab hiyo jana Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Said Chaku kulia...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWAAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA NA KAMISHA WA TUME YA USULUHISHI, IKULU JIJINI DAR LEO

Balozi mpya wa Tanzania nchini Malaysia Dkt.Aziz Ponary Mlima akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi Bwana Jafari Omari akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.…

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.     - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji waliofika  nyumbani kwa Rostam Azizi, Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI URUSI, AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA UJERUMAN NCHINI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Luteni Generali Wyjones Matthew Kisamba, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 28, 2014 kwa ajili ya kumuaga akielekea kuanza kazi.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Luteni Generali Wyjones Matthew Kisamba, wakati alipofika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).

2

heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani