KOCHA SAID CHAKU AMNOA AZIZI RASHIDI KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE NA AZIZI ABDALLAH SIKU YA NYERERE DAY
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Said Chaku kulia akimwelekeza jinsi ya kupiga makonde bondia Azizi Rashidi anayejitaalisha kwa ajili ya mpambano wake na Azizi Abdallah mpambano utakaofanyika siku ya sikukuu ya Nyerere Day katika ukumbi wa musoma bar tandika
Kocha wa mchezo wa ngumi Said chaku kulia akiwaelekeza mabondia wa Gongolamboto jinsi ya kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo jana wakati wa mazoezi ya klab hiyo jana
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Said Chaku kulia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Oct
MPAMBANO WA NGUMI KUPIGWA SIKU YA NYERERE DAY TANDIKA
BONDIA Imani Daudi anatarajia kupigan
![](https://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
lina marengo ya kumkumbuka baba wa taifa katika siku hiyo ya kipekee kabisa kwa nchi yetu ya Tanzania
akizungumza na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O1bFZIv4d7g/Ux1-Lq1jtkI/AAAAAAAFSkg/NaUGHZ0mNto/s72-c/New+Picture+(15).png)
WALIOSOMA USSR WAMPONGEZA BALOZI MPYA WA MALAYSIA DKT. AZIZI MRIMA
KATIKA SHEREHE HIYO ILIYOANZA SAA 12.30 JIONI HADI SAA 5.45 USIKU, WASOMI HAO WAKIONESHA IMANI KUBWA KWA DTR. AZIZI MRIMA KWA KUMPONGEZA NA KUMPA ZAWADI KWA KUTEULIWA KWAKE KUWA BALOZI WA TANZANIA NNCHINI MALAYSIA NA KUAHIDI KUMPA USHIRIKIANO WA KARIBU KATIKA KAZI ZAKE ZA...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s72-c/zz.jpg)
DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s1600/zz.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t2Sba_Y-pas/U4nyGMCI7nI/AAAAAAAFmx0/jcoujWfZD5M/s1600/zz1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).
heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s72-c/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
MABONDIA KUPIMA UZITO IJUMAA STEND YA BAGAMOYO KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
uliopo Bagamoyo mjini ambapo mabondia hawo watamalizia ubishi wao wa nani zaidi kati ya bagamoyo na Chanika
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za kulipwa P.S.T litakuwa la raundi sita na kg 61 ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi siku...
11 years ago
GPLMABONDIA WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WA LEO PTA SABASABA, DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi19 Apr
MABONDIA WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WA LEO UKUMBI WA PTA SABASABA, DAR ES SALAAM