JK kutoa maamuzi Escrow wiki ijayo
Aagiza ripoti ya CAG iwekwe kwenye magazeti, mitandao ya kijamiiRais Jakaya Kikwete, anatarajia kutoa maamuzi kuhusiana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wiki ijayo.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ilieleza kuwa Rais Kikwete atafanya maamuzi hayo baada ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge kuhusu akaunti hiyo.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa Rais Kikwete alipokea Ripoti ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge
-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.
Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Makaidi kuzikwa wiki ijayo
NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MWILI wa Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi aliyefariki dunia juzi kwa shinikizo la damu unatarajiwa kuzikwa wiki ijayo.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka ndani ya familia ya marehemu Makaidi, zinaeleza kuwa atazikwa kati ya Jumatatu au Jumanne.
Mke wa marehemu, Modesta Makaidi ambaye jana jioni alikuwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuupeleka mwili wa marehemu, aliliambia gazeti hili...
10 years ago
Habarileo31 Oct
Bunge kuanza wiki ijayo
MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kinondoni kujenga sekondari 6 wiki ijayo
WILAYA ya Kinondoni imeazimia wiki ijayo kuanza kujenga shule sita za sekondari katika kata zote ambazo hazina sekondari. Hatua hiyo imelenga kuwezesha wanafunzi 3,000 ambao wamefaulu mtihani wa darasa la saba na kukosa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza mwakani, wajiunge na masomo ya sekondari.
11 years ago
Habarileo23 Jan
Wajumbe Bunge Katiba wiki ijayo
MAANDALIZI ya Bunge Maalumu la Katiba, yamefikia hatua nzuri zaidi na wiki ijayo majina 201 ya wajumbe wa nyongeza wa Bunge hilo, yatatangazwa katika Gazeti la Serikali ili kukamilisha wajumbe 604.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Madereva watishia kugoma wiki ijayo
9 years ago
Mwananchi14 Nov
‘Aliyetibiwa’ na Magufuli kupasuliwa wiki ijayo
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Who is My Child kuingizwa sokoni wiki ijayo
FILAMU ya ‘Who is My Child’ inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wadau wa sinema za Kibongo, inatarajiwa kuingizwa sokoni Jumatatu ikiwa ni ya tatu kusambazwa na Kampuni ya 5 Effects...
9 years ago
Habarileo10 Oct
Walimu kuanza kulipwa bil.1.7/- wiki ijayo
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.