Majwega atua Simba
MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Kiongera, Majwega washusha presha Simba
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Simba open talks with Azam over Majwega
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.
Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.
Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Ndikumana ‘out’ Stand, Majwega apasha Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVKQj4dz0IqAZbIMbdneiK1R50aGHOq4fy249mJbGHLMXfaE0g-I9Kh4sfRdzCzf9-3Z-6lRN8yCN5*byu9s5x5*/Untitled1.jpg)
Mkenya atua Simba SC, Matola out
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kiiza atua rasmi Simba