Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndikumana ‘out’ Stand, Majwega apasha Simba

Siku chache baada ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa, klabu zimeanza kusafisha safu zao kwa kuondoa au kuongeza wachezaji wapya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam

kiongeraNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.

Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.

Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndikumana wa Irene Uwoya aibukia Stand United

Mshambuliaji huyo ambaye ni mume wa msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya tayari ameshatua mjini Shinyanga kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Stand.

Mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo ambao ndio wanaofanikisha mpango huo waliambia gazeti hili kuwa Ndikumana ambaye alikuwa akichezea soka la kulipwa nchini Ubelgiji atasajili kama mchezaji huru kutokana na kumalizika kwa mkataba wake.

Mshambuliaji huyo ameonyesha nia ya kutaka kucheza soka la kulipwa nchini na ndio hasa...

 

9 years ago

Habarileo

Majwega atua Simba

MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina

Kiungo wa Azam, Brian Majwega ameidhinishwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuichezea klabu ya Simba msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kiongera, Majwega washusha presha Simba

Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.

 

9 years ago

TheCitizen

Simba open talks with Azam over Majwega

Simba SC have opened negotiations with Azam FC with a view to signing Ugandan midfielder, Brian Majwega.

 

9 years ago

Habarileo

Simba yajipoza kwa Stand

SIMBA jana ilipoza kipigo ilichopata Jumamosi iliyopita kutoka kwa Yanga baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Michuzi

simba yatoka sare ya 1-1 na Stand United

Golikipa wa timu ya Stend United, John Mwenda akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe wakati wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka  Tanzania uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande) 
Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akimtoka beki wa Stand United, Idd Mobby.
Maguri akiipangua ngome ya Stand United.Idd Mobby akimdhibiti Emmanuel Okwi.

MATOKEO YOTE YA LEO
SIMBA 1- STAND UNITED 1PILISI MORO 1- KAGERA...

 

10 years ago

GPL

SIMBA YABANWA MBAVU NA STAND UNITED, YATOKA 1-1

Kiungo wa Simba SC, Shaban Kisiga (kushoto) akimtoka beki wa Stand United, Reyna Mgungira. SIMBA SC imelazimishwa sare ya tatu mfululizo nyumbani baada ya kufungana bao 1-1 na Stand United ya Shinyanga Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hadi mapumziko, tayari timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Simba SC wakitangulia kupitia kwa Shaban Kisiga dakika ya 35 kabla ya Stand United kusawazisha dakika 10 baadaye. Wafungaji ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani