Okwi: Simba SC imenipa magari sita
![](http://api.ning.com:80/files/s3yECVD-Xt5VFSNWpdBwxUGjB6smycBLdPX-qVusr5tZMSSQRuTg*jruZTEyB0AB77TM-4O5DdRcwyOsgShp*ZwncdiIrORU/OKWI.jpg?width=650)
Okwi huyo akiondoka! Shakoor Jongo na Musa Mateja MSHAMBULIAJI wa Yanga, Emmanuel Okwi, kwa sasa yupo nchini Uganda, aliondoka juzi Jumatano na kuzungumza na Gazeti la Championi Ijumaa pekee huku akiitaja Simba. Okwi ambaye aligoma kucheza mechi za mwishoni mwa Ligi Kuu Bara, msimu uliomalizika hivi karibuni kutokana na kile kilichoelezwa kuwa alikuwa hajamaliziwa malipo ya usajili wake, amefunguka kuwa Simba ndiyo ambayo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Matalena: Netiboli imenipa kazi, nyumba, magari
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jun
Ajali ya magari manne yaua sita Dar
WATU sita wamefariki dunia mjini Dar es Salaam na wengine 12 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari manne.
Ajali hiyo ambayo ilitokea saa 7:30 mchana, ilihusisha daladala mbili, lori na gari dogo aina ya Land Rover Discover ambapo ilitokea katika eneo la Lugalo njiapanda.
Mashuhuda wa ajali hiyo walisema, ajali hiyo ilisababishwa na daladala lililokuwa likitoka Ubungo kwenda Tegeta lenye namba za usajili T 441 CKT ambalo lilihama njia na kupanda tuta kisha...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Okwi awavuruga Simba
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Okwi arejea Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPhTMPsWclG0VY9MNG4ooTZ2w-DfET*R7g9YxoM4bF7avOPM1iGihiuFP0qOO8XEqD9GeyfVIR9dJTkrbYAVIb6L/okwi.jpg)
Okwi rasmi Simba
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Simba kumrudisha Okwi
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Okwi kurejea Simba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Okwi-22July2015.jpg)
Utata huo mpya umefuatia Wadenmark hao kutaka kumrejesha Okwi Simba kwa mkopo wa miezi sita baada ya kukwama kuipata leseni yake ya uhamisho ya kimataifa (ITC), ambayo Simba imesema haitaitoa...
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Simba kumuuza Okwi
KUNA uwezekano mkubwa kwa Klabu ya Simba kumuuza tena mashambuliaji wake Emmanuel Okwi kama atafuzu majaribio yake anayotarajia kuanza kesho katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki kwenye Ligi ya Danish Superliga, Denmark.
Simba iliwahi kumuuza Okwi katika timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia, lakini alikaa kwa miezi sita kabla ya kurejea timu ya Sports Club Villa ya Uganda ambao nao walimuuza klabu ya Yanga na mwisho kutua tena Simba.
Okwi atakuwa ni mchezaji wa pili kwenda kwenye...