Simba kumrudisha Okwi
Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likisogeza muda wa usajili, Yanga inahaha kufanya uamuzi wa kuondoa mmoja kati ya wachezaji wawili Waganda, huku Simba ikikaribia kumalizana na beki kutoka Lipuli na kumrejesha Emmanuel Okwi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPhTMPsWclG0VY9MNG4ooTZ2w-DfET*R7g9YxoM4bF7avOPM1iGihiuFP0qOO8XEqD9GeyfVIR9dJTkrbYAVIb6L/okwi.jpg)
Okwi rasmi Simba
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Okwi arejea Simba
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Okwi awavuruga Simba
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Simba kumuuza Okwi
KUNA uwezekano mkubwa kwa Klabu ya Simba kumuuza tena mashambuliaji wake Emmanuel Okwi kama atafuzu majaribio yake anayotarajia kuanza kesho katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki kwenye Ligi ya Danish Superliga, Denmark.
Simba iliwahi kumuuza Okwi katika timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia, lakini alikaa kwa miezi sita kabla ya kurejea timu ya Sports Club Villa ya Uganda ambao nao walimuuza klabu ya Yanga na mwisho kutua tena Simba.
Okwi atakuwa ni mchezaji wa pili kwenda kwenye...
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Okwi kurejea Simba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Okwi-22July2015.jpg)
Utata huo mpya umefuatia Wadenmark hao kutaka kumrejesha Okwi Simba kwa mkopo wa miezi sita baada ya kukwama kuipata leseni yake ya uhamisho ya kimataifa (ITC), ambayo Simba imesema haitaitoa...
10 years ago
TheCitizen15 Mar
Okwi stars as Simba shine again
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Okwi afichua siri Simba
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3