Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waganda wapata vibali vya kazi Saudia

Mazungumzo yaliyofanywa kati ya Uganda na Saud Arabia, yametoa nafasi kwa raia wa Uganda kupata vibali vya kufanya kazi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wageni 7,000 wapewa vibali vya kazi

SERIKALI imesema wageni 7,037 wamepatiwa vibali vya kazi kwa kuwa na sifa stahiki katika kipindi cha mwaka 2012/13. Hayo yalibainishwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vibali vya kazi vifutwe: Arsene Wenger

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametaka kanuni za kutoa kibali kufutwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota wa judo wapata vibali Madola

HATIMAYE nyota watatu wa mchezo wa judo ambao awali waliachwa nchini kutokana na majina yao kukosekana mjini Glasgow, wameondoka jana jioni kwa  ndege ya Emirates kuelekea nchini Scotland kushiriki michezo...

 

11 years ago

Habarileo

SUMATRA yatoa vibali vya dharura 75 vya mabasi

JUMLA ya vibali vya dharura 75 vya mabasi vimetolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la usafiri kipindi hiki cha sikukuu huku hali ya usafiri katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo ikizidi kuwa ngumu.

 

9 years ago

Habarileo

Vibali vya uwindaji vyasitishwa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.

 

10 years ago

Mtanzania

vibali vya waganga wa jadi kusitishwa Same

NA RODRICK MUSHI, SAME
SERIKALI wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, imesema itafanya tathmini ya vibali vyote vya waganga wa jadi vilivyokwisha muda wake.
Pamoja na tathmini hiyo, pia uongozi utasimamisha kwa muda utoaji wa vibali vipya vya waganga wa jadi.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu Tawala Wilaya ya Same, Mashauri Msangi alipozungumza kwenye maadhimisho ya siku ya ulemavu wa ubongo duniani.
“Tutafanya tathmini ya vibali na tutasimamisha vibali vipya bila hofu ya kurogwa kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘E-Immagration’ kurahisisha vibali vya uhamiaji

MFUMO wa ‘E-immagration’ unaelezwa kuwa utakuwa suluhu katika kutatua tatizo la kuchukua muda mrefu katika kushughulikia vibali vya wageni wanaotoka na kuingia nchini. Akizungumza na Tanzania Daima katika maonyesho ya...

 

11 years ago

Habarileo

Vibali vya ajira sekta ya afya vyaongezeka

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe Steven Kebwe amesema vibali vya ajira kwa wataalamu wa afya, vimekuwa vikiongezeka ili kutoa fursa ya kuongeza watumishi wanaotoa huduma ya afya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yahusishwa vibali vya utoroshaji wanyama

KAMPUNI ya HAM Marketing and Gumbo Enterprise ya jijini Arusha imetajwa kuhusika katika uombaji wa vibali vya kukamata wanyama hai 154, wakiwemo Twiga wanne waliotoroshwa kwenda uarabuni kupitia uwanja wa Kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani