Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa judo wapata vibali Madola

HATIMAYE nyota watatu wa mchezo wa judo ambao awali waliachwa nchini kutokana na majina yao kukosekana mjini Glasgow, wameondoka jana jioni kwa  ndege ya Emirates kuelekea nchini Scotland kushiriki michezo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waganda wapata vibali vya kazi Saudia

Mazungumzo yaliyofanywa kati ya Uganda na Saud Arabia, yametoa nafasi kwa raia wa Uganda kupata vibali vya kufanya kazi nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Judo yaomba mashindano Uturuki

TIMU ya taifa ya judo iliyoweka kambi nchini Uturuki imeliomba Shirikisho la Judo la nchi hiyo kushirikisha wachezaji wake katika mashindano ya kuteua wa kuunda timu ya taifa ya nchi...

 

11 years ago

BBC

British Army helps Ghanaian's judo dream

British soldier eyes judo gold for Ghana

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA DUNIA YA JUDO, KARATE KUFANYIKA TANZANIA

Mwenyekiti msaidizi wa UPAM Tanzania, Golandu Yusuph akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Rais wa UPAM Italia,Maurizio Martina, akipunga bendera ya Tanzania.  Kushoto ni Golandu Yusuph.…

 

11 years ago

Mwananchi

Jata na ZJA wapinga uteuzi wachezaji judo

Dar es Salaam. Kamati ya Ufundi ya Chama cha Judo visiwani Zanzibar (ZJA) na ile ya Tanzania Bara (JATA) zimeingia katika mgogoro juu ya uteuzi wa mchezaji anayedaiwa kuwa na miaka 45, kwa ajili ya kushiriki michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

10 years ago

GPL

MICHEZO YA WUSHU, JUDO KUFANYIKA DAR KIMATAIFA 30-31 AGOSTI

   Rais wa Tanzania Wushu Association  (TWA) Mwaram Mitete (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa  utamaduni wa China, Liu Dong, na mwenyekiti wa wafanyabiashara wa watu wa China, Jonson Huang.
   Wadau wa Wushu, kutoka kulia ni  Jonson Huang, Liu Dong, Mwaram Mitete, Katibu Mkuu wa TWA, Gola Kapipi na Makamu wa Rais wa TWA, Kawina Konde.…
...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif afungua rasmi wa jengo la maalum la mchezo wa Judo, Gombani Chake Chake,Pemba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Balozi wa Japan nchini Tanzania Masaki Okada, wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo la Judo, Gombani Chake Chake Pemba. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Mhe. Said Ali Mbarouk wakati wa uzinduzi huo. Rais wa heshima wa mchezo wa judo Zanzibar Bw. Shima Oka, akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo hilo Gombani...

 

9 years ago

Habarileo

Vibali vya uwindaji vyasitishwa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani