Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waganda wakacha kambi Simba

Simba imeingia kambini Zanzibar jana bila ya nyota wake watatu Simon Sserunkuma, Juku Musheed na Emmanuel Okwi waliotimkia Uganda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo

>Wawakilishi wa Tanzania, Azam na Simba leo watakuwa na kibarua kizito mbele ya timu za Uganda, URA  na KCC wakati wa mechi za nusu fainali za Kombe la Mapinduzi zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

GPL

Kambi ya Simba ni balaa!

Kambi ya Simba . Na Richard Bukos, Zanzibar
SIMBA ipo kisiwani Unguja, Zanzibar, ikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, ambayo itapigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, lakini katika kambi hiyo kuna mambo mengi ambayo yanaonyesha kweli timu hiyo ya Msimbazi imepania kufanya kweli. Championi Ijumaa ambalo limeweka kambi kisiwani hapa kwa siku kadhaa tangu Simba iwasili kisiwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Kopunovic azuia kambi Simba SC

 Kocha Mkuu wa Simba Goran Kopunovic ametoa uamuzi uliowafurahisha wachezaji wake baada ya kuamrisha kuwa timu hiyo iingie kambini kesho badala ya jana jioni kama uongozi wa timu hiyo ulivyopanga.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba yakamilisha kambi Lushoto

TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, baada ya kumaliza kambi ya wiki mbili wilayani  Lushoto kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kocha Msaidizi wa Simba Seleman Matola alisema jana kuwa timu yao ilikuwa Lushoto kwa kambi ya wiki mbili kwa ajili ya mazoezi ya ukamilifu wa mwili kabla hawajaanza rasmi mazoezi ya uwanjani.

Alisema Kocha wao Mkuu, Dylan Kerr, alitaka timu iweke kambi sehemu ya baridi, kwa kuwa ni rahisi kufanya mazoezi kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji

Pg 32MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

10 years ago

Michuzi

WACHEZAJI WA SIMBA KAMILI YAENDA ZANZIBAR KUWEKA KAMBI YA MAZOEZI

 Baadhi ya wachezaji wa Simba wakielekea kupanda boti katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya safari ya kwenda Zanzibar kwenye kambi ya mazoezi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, inayotarajiwa kuanzai hivi karibuni. (Picha na Francis Dande) Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe (wa pili kushoto) akiwa na wachezaji wenzake. Wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha.Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa katika boti kabla...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 45 ZA KISIMA KIJIJI CHA KAMBI YA SIMBA KARATU

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akipeana mkono na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kambi ya Simba, Damian John wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi ya Sh. Milioni 45 zilizotolewa kwa ajili ya kuchimba kisima cha maji kijijini hapo mwishoni mwa wiki. Wengine ni Meneja Mauzo TBL Mkoa wa Arusha Richard Temba (mwenye miwani) na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Karatu Moses Mabula.
 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akizungumza na ...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA WALIPA KISASI MRA MBILI KWA WAFUNGA BUTI WA KAMBI YA MGAMBO JKT

Mshambuliaji Emmanuel Okwi ya Simba, ametoa yake ya moyoni kuhusiana na kikosi chake kuwa na mwendo wa kuyumba.Okwi raia wa Uganda amefunga mabao matatu, hat trick na kuisaidia Simba kuiadhibu Mgambo Shooting kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Akizungumza na SALEHJEMBE baada ya mchezo huo, Okwi aliwataka mashabiki kuendelea kuwaunga mkono ili washinde zaidi kwa kuwa si nia yao kupoteza.“Kweli matokeo yetu yamekuwa si mazuri, hatuna mwendo mzuri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani