Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kambi ya Simba ni balaa!

Kambi ya Simba . Na Richard Bukos, Zanzibar
SIMBA ipo kisiwani Unguja, Zanzibar, ikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, ambayo itapigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, lakini katika kambi hiyo kuna mambo mengi ambayo yanaonyesha kweli timu hiyo ya Msimbazi imepania kufanya kweli. Championi Ijumaa ambalo limeweka kambi kisiwani hapa kwa siku kadhaa tangu Simba iwasili kisiwani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yazua balaa Mbeya

PRESHA ya mechi ya Ligi Kuu ya Bara kati ya Simba na Mbeya City itakayopigwa leo Uwanja wa Sokoine mjini hapa, imezua balaa kwa wenyeji kiasi cha kutimuana. Kisa ni...

 

11 years ago

GPL

Henry Joseph azua balaa Simba SC

Kiungo wa Simba, Henry Joseph. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO wa Simba, Henry Joseph, amezua balaa katika kikosi cha timu hiyo baada ya kuonyesha uwezo wa kumudu na kucheza kwa ufanisi mkubwa nafasi mbalimbali uwanjani. Hali hiyo imewaogopesha baadhi ya wachezaji wenzake na kuwafanya wahofie kupoteza nafasi zao katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo ambayo inafundishwa na Mcroatia, Zdravko Lagarusic. Baadhi ya wachezaji...

 

10 years ago

GPL

SIMBA NI BALAA YAILAZA BAO TATU GOR MAHIA

Kikosi cha Simba FC kilichoanza mechi ya leo dhidi ya Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Gor Mahia mabingwa wa Kenya.…

 

10 years ago

Mwananchi

Kopunovic azuia kambi Simba SC

 Kocha Mkuu wa Simba Goran Kopunovic ametoa uamuzi uliowafurahisha wachezaji wake baada ya kuamrisha kuwa timu hiyo iingie kambini kesho badala ya jana jioni kama uongozi wa timu hiyo ulivyopanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Waganda wakacha kambi Simba

Simba imeingia kambini Zanzibar jana bila ya nyota wake watatu Simon Sserunkuma, Juku Musheed na Emmanuel Okwi waliotimkia Uganda.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba yakamilisha kambi Lushoto

TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, baada ya kumaliza kambi ya wiki mbili wilayani  Lushoto kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kocha Msaidizi wa Simba Seleman Matola alisema jana kuwa timu yao ilikuwa Lushoto kwa kambi ya wiki mbili kwa ajili ya mazoezi ya ukamilifu wa mwili kabla hawajaanza rasmi mazoezi ya uwanjani.

Alisema Kocha wao Mkuu, Dylan Kerr, alitaka timu iweke kambi sehemu ya baridi, kwa kuwa ni rahisi kufanya mazoezi kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji

Pg 32MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...

 

10 years ago

Michuzi

WACHEZAJI WA SIMBA KAMILI YAENDA ZANZIBAR KUWEKA KAMBI YA MAZOEZI

 Baadhi ya wachezaji wa Simba wakielekea kupanda boti katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya safari ya kwenda Zanzibar kwenye kambi ya mazoezi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, inayotarajiwa kuanzai hivi karibuni. (Picha na Francis Dande) Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe (wa pili kushoto) akiwa na wachezaji wenzake. Wachezaji wa Simba wakiwa wamepozi kwa picha.Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa katika boti kabla...

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani