Phiri: Nikirudi nitawavuruga
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameziambia Yanga na Azam zikae mbali kwani moto watakaokuja nao safari hii utakuwa kiboko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Kwaheri phiri
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Phiri amtetea Sserunkuma
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Phiri alia na Waganda
11 years ago
TheCitizen30 Oct
Simba’s Phiri given ultimatum
11 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
11 years ago
GPL
Phiri amtuliza Tambwe Simba
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Phiri, Maximo waanza tambo
11 years ago
Mwananchi16 Sep
Phiri: Jaja ni mtu hatari
11 years ago
Mtanzania09 Sep
Phiri ajivunia chipukizi Simba

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri, amesema anajivunia kuwa na kikosi bora na imara chenye wachezaji chipukizi ambacho kinajiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Katika msimu huu wa ligi, Simba imesajili wachezaji wengi chipukizi na kuwaondoa wakongwe baada ya timu hiyo kupata matokeo mabaya katika msimu uliopita na kumaliza ikiwa katika nafasi ya nne.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar...