Simba SC wajigamba kuendeleza vipigo Ligi Kuu Bara
![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9cQ9i*zqPfU7532OjzhsOWNQooz-jcMLQJkUGXPoB2yutP8iyz*mHn32mapKfeVpe0-Sf4xtEHX0IgK-EHur8xu/simba.jpg?width=650)
Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, Haji Manara. Na Said Ally Dar es Salaam KIKOSI cha Simba baada ya juzi Jumatatu kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Kagera Sugar, kimejigamba kuwa kitaendeleza ubabe wake kwenye ligi hiyo hadi mwisho. Simba ambayo kwa sasa inashika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi 35, wikiendi hii inatarajiwa kupambana na Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku mchezo huo ukitarajiwa kuwa ni wa kisasi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?
9 years ago
Mwananchi13 Sep
LIGI KUU BARA : Simba yafuta nuksi Tanga
10 years ago
Mwananchi25 Oct
LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Sare tu Ligi Kuu bara