Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ashanti United yajificha Chamazi kuikabili Mgambo

>Ashanti United imewapigia kambi katika hoteli ya Serengeti iliyopo Chamazi kujiandaa na mechi yao dhidi ya Mgambo Shooting hapo kesho.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC target JKT Oljoro scalp

An arduous task awaits JKT Oljoro when they take on in-form Simba SC in the Vodacom Premier League match at the National Stadium this afternoon.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam conquer Oljoro, Simba fall to Coastal

>John Bocco late strike ensured Azam FC stayed hot in pursuit of their first Vodacom Premier League title after shooting down JKT Oljoro 1-0 at the Chamazi Complex yesterday.

 

11 years ago

GPL

SIMBA SC YAIANGUSHIA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO

Mshambuliaji wa Simba SC, Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' dhidi ya JKT Oljoro leo. TIMU ya Simba SC imeishushia kichapo cha bao 4-0 timu ya maafande ya JKT Oljoro leo katika mtanannge uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' wakati lingine likifungwa na Jonas Mkude. Kwa matokeo ya leo Simba imefikisha pointi 30 baada ya kucheza michezo 15 ikiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha 10 wametimuliwa, Simba, Ashanti zatia fola

Mwaka 2013 unafikia tamati kesho saa 6:00 usiku, baada ya hapo tutaukaribisha mwaka mpya 2014 huku watu wengi wakitafakari yaliopita pia wakijipanga kufanya mapya katika mwaka huo.

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0

 Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Oljoro JKT uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Simba imeshinda 4-0.   Kikosi cha timu ya Oljoro JKT kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya Simba.  Waamuzi wa mchezo huo wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi.  Haruna Chanongo (shoto), akiwania mpira na beki wa Oljoro JKT, Aziz Yusuf.  Chanongo akimtoka beki wa Oljoro JKT.  Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akishangilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani