Mikoa mitatu yapata tuzo utoaji chanjo
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imetoa tuzo kwa mikoa ya Mwanza, Mbeya na Ruvuma kwa kufikia malengo yaliyowekwa ya utoaji chanjo kwa watoto na wajawazito na kupunguza vifo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Oct
Chanjo yapata ukinzani Kenya
Nchini Kenya kumeibuka mvutano kati ya Kanisa Katoliki na wizara ya afya juu ya chanjo ya pepopunda.
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Ubingwa Simba upo mikoa mitatu
Ndoto ya Simba kumaliza katika nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania itaamuliwa kwenye viwanja vitatu vya Sokoine (Mbeya), Kambarage (Shinyanga) na Uwanja CCM Mkwakwani mjini Tanga.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma Tuzo zilitolewa kwenye hafla maalum na Waziri wa Utawala bora
.jpg)
Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MARA GROUP YAPATA UONGOZI MPYA UTAKAOONGOZA KWA MIAKA MITATU
Jamii ya Mara Group ya Mji mdogo wa Mererani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imemchagua Philemon Oboro, kuwa Mwenyekiti wake kwa kipindi cha miaka mitatu baada ya kuwaangusha wapinzani wake watatu.
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi huo Samwel Ombeng alisema Oboro alipata kura 523, Philipo Mtanda Onyando kura 60, Allan Gichana kura 33 na Jackson Onyango Mutaban kura nane.
Ombeng alisema Elija Ambonya alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Msaidizi kwa kupata kura 363 na...
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi huo Samwel Ombeng alisema Oboro alipata kura 523, Philipo Mtanda Onyando kura 60, Allan Gichana kura 33 na Jackson Onyango Mutaban kura nane.
Ombeng alisema Elija Ambonya alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Msaidizi kwa kupata kura 363 na...
10 years ago
Vijimambo
MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI

Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AHITIMISHA ZIARA YAKE YA MIKOA MITATU MKOANI KILIMANJARO.


10 years ago
GPL
SELENA GOMEZ AWA KIVUTIO UTOAJI WA TUZO
Mwimbaji Selena Gomez. Los Angeles, Marekani
MWIMBAJI Selena Gomez juzi aliibuka kwenye utoaji wa tuzo za filamu na kuwa kivutio kikubwa kutokana na gauni alilokuwa amevaa.Selena alikuwa kivutio kwenye tuzo hizo zinazojulikana kwa jina la Annual Hollywood Film Awards, ambazo sherehe zake zilifanyika mjini Beverly Hills, jijini Los Angeles. Mwimbaji huyo ambaye alikabidhi tuzo ya mchekeshaji bora ambayo ilitwaliwa na Amy...
11 years ago
GPLTASWIRA ZA UTOAJI TUZO ZA KILI USIKU HUU
Young Killer akipokea tuzo ya Msanii Bora Chipukizi Anayeibuka kutoka kwa msanii JB.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania