MARA GROUP YAPATA UONGOZI MPYA UTAKAOONGOZA KWA MIAKA MITATU
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSur6_gRU2g/U4LjQRwrAoI/AAAAAAAFlAc/arP4tw5st88/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Jamii ya Mara Group ya Mji mdogo wa Mererani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imemchagua Philemon Oboro, kuwa Mwenyekiti wake kwa kipindi cha miaka mitatu baada ya kuwaangusha wapinzani wake watatu.
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi huo Samwel Ombeng alisema Oboro alipata kura 523, Philipo Mtanda Onyando kura 60, Allan Gichana kura 33 na Jackson Onyango Mutaban kura nane.
Ombeng alisema Elija Ambonya alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Msaidizi kwa kupata kura 363 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.
Na Hillary Shoo,IKUNGI.
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwI6MpsDcbYUqzQnEbWPCuIH9aqXEoIJJuVKcIZ15au9LIDfi-kVhslcZUTthjfjxNWdywtfOCpRpMFhFJGwLb9/lisu.jpg?width=650)
MIAKA MITATU BUNGENI LISU: NILISHA- PIGWA NA KULALA SELO MARA 3
10 years ago
GPLSAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IOq5AYMbQU0/U8o7D-EBoTI/AAAAAAAF3rU/zSQhCywHDIw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KOICA/KAAT) YAPATA UONGOZI MPYA
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Miaka mitatu ya kuchomwa kwa pasi na kung’atwa
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Yajue malezi kwa mtoto chini ya miaka mitatu