MIAKA MITATU BUNGENI LISU: NILISHA- PIGWA NA KULALA SELO MARA 3
![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwI6MpsDcbYUqzQnEbWPCuIH9aqXEoIJJuVKcIZ15au9LIDfi-kVhslcZUTthjfjxNWdywtfOCpRpMFhFJGwLb9/lisu.jpg?width=650)
MBUNGE wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya uwakilishi wake bungeni, ameshapigwa na polisi kisha kuwekwa mahabusu mara tatu katika maeneo tofauti nchini kwa sababu ya harakati za kisiasa. Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu. Akizungumza na waandishi wa Global Publishers...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSur6_gRU2g/U4LjQRwrAoI/AAAAAAAFlAc/arP4tw5st88/s72-c/unnamed+(26).jpg)
MARA GROUP YAPATA UONGOZI MPYA UTAKAOONGOZA KWA MIAKA MITATU
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi huo Samwel Ombeng alisema Oboro alipata kura 523, Philipo Mtanda Onyando kura 60, Allan Gichana kura 33 na Jackson Onyango Mutaban kura nane.
Ombeng alisema Elija Ambonya alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Msaidizi kwa kupata kura 363 na...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Filikunjombe: Mimi si wa kulala bungeni
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) amesema kuwa yeye si mbunge wa kusinzia bungeni kama walivyo baadhi ya wabunge wanaofanya hivyo na kushindwa kuwawakilisha wananchi wao. Akizungumza kwa nyakati tofauti...
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Atupwa jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala imemuhukumu Mwanamuziki wa Bendi ya Achigo, Frank Ndokezi (41) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa kuiibia Ofisi ya Usaki Sacos Sh. milioni 19.8, kutakiwa kulipa faini ya fedha hizo mara baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo
Hukumu hiyo ilitolewa jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan, Wakili wa Serikali Ferista Mosha.
Hakimu Hassan alisema upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano waliotoa ushahidi ili kuweza kuthibitisha...
10 years ago
GPLMIAKA MITATU MUHIMBILI BILA MATIBABU
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Mwandishi atakayepotosha jela miaka mitatu
Na Fredy Azzah, Dodoma
BUNGE limetuma salamu kwa vyombo vya habari na waandishi wa habari kwa kupitisha Muswada wa Takwimu wa Mwaka 2013, ambao pamoja na mambo mengine unataka mwandishi atakayefanya makosa kwenye kuripoti taarifa za takwimu kufungwa jela miaka mitatu ama kutozwa faini ya Sh milioni 10.
Muswada huo umepitisha wakati ambapo, Machi 31, mwaka huu Serikali inatarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa Mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa Mwaka 2015, yote kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNV3o*LlFmAB64HIQvvNJxRNI0fcnbhFcEau1W7FJavKJFkOS62xUlVIsRehbuKimfz27-8ulqBu2RMilWAw4I8o/diamond.jpg)
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyiOZtnbV-8blFLxHgxg0kMatjPu6-LViDVLqFP5hQmw4qga2ttTZAJmXNNr8*HXCSYw-L*oxmsZUdwHHTkMR3G7/breakingnews.gif)
FRANCIS CHEKA JELA MIAKA MITATU
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Francis Cheka : miaka mitatu jela
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Kigogo TBS jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salam jana imemuhukumu kifungo cha miaka mitatu jela aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekerege baada ya kumtia hatiani...