Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filikunjombe: Mimi si wa kulala bungeni

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) amesema kuwa yeye si mbunge wa kusinzia bungeni kama walivyo baadhi ya wabunge wanaofanya hivyo na kushindwa kuwawakilisha wananchi wao. Akizungumza kwa nyakati tofauti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE FILIKUNJOMBE ALAZAMIKA KULALA KATIKA 'PAGALE' AKITEKELEZA AHADI YA UMEME KIJIJI CHA KILONDO

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kilondo Ludewaa.Mbunge Filikunjombe akisisitiza jambo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kilondo.Mwenyekiti wa kata ya Kilondo wa Chadema Bw Edgar Kyula akimpongeza mbunge wa wa Ludewa Deo Filikunjombe kushoto wakati wa mkutano wake kijijini KilondoMbunge Filikunjombe akikabidhi nyavu za kuvulia samaki kwa ajili ya vikundi vya vijana wote Kijiji cha Kilondo na Lusisi Ludewa.

 

10 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOMBE ALAZAMIKA KULALA KATIKA 'PAGALE' AKITEKELEZA AHADI YA UMEME KIJIJI CHA KILONDO

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa Deo Filikunjombe akiwahutubia  wananchi wa  kijiji  cha Kilondo Ludewaa. Mbunge  Filikunjombe  akisisitiza jambo  wakati akizungumza na  wananchi wa kijiji cha Kilondo. Mwenyekiti wa kata ya  Kilondo wa Chadema Bw  Edgar Kyula  akimpongeza  mbunge wa  wa Ludewa  Deo Filikunjombe kushoto  wakati wa mkutano wake  kijijini Kilondo… ...

 

11 years ago

GPL

MIAKA MITATU BUNGENI LISU: NILISHA- PIGWA NA KULALA SELO MARA 3

MBUNGE wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya uwakilishi wake bungeni, ameshapigwa na polisi kisha kuwekwa mahabusu mara tatu katika maeneo tofauti nchini kwa sababu ya harakati za kisiasa. Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu. Akizungumza na waandishi wa Global Publishers...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filikunjombe ataka Waziri achapwe viboko bungeni

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), ameliomba Bunge kubadilisha kanuni ili Waziri wa Kilimo na Chakula, Mhandisi Christopher Chiza, achapwe viboko bungeni akamuonyeshe mkewe. Filikunjombe, alisema kanuni hiyo iruhusu mawaziri...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge Filikunjombe avunja rekodi ya kutembelewa na wageni wengi bungeni kutoka jimboni kwake Ludewa

Mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa akisalimiana na  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa  Sehemu ya  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa  Waziri mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa  Waziri...

 

10 years ago

Raia Mwema

Hakuna kulala

WIKI tatu kabla ya kuhitimishwa kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu, vyama vyenye ushindani mkubwa Chama

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Hakuna kulala

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema hakutakuwa na muda wa kupoteza iwapo atachaguliwa akisema ataanza kushughulikia ahadi zote ikiwamo ya ujenzi wa viwanda kwa ajili ya kutatua tatizo la ajira mara tu baada ya kuapishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mghwira: Hakuna kulala

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema endapo atafanikiwa kuingia madarakani, Serikali yake itafanya kazi kwa staili ya ‘hakuna kulala’ kulinda haki ya wafugaji na wakulima na hatimaye kumaliza migogoro ardhi inayotokea baina yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani