Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanjo yapata ukinzani Kenya

Nchini Kenya kumeibuka mvutano kati ya Kanisa Katoliki na wizara ya afya juu ya chanjo ya pepopunda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mikoa mitatu yapata tuzo utoaji chanjo

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imetoa tuzo kwa mikoa ya Mwanza, Mbeya na Ruvuma kwa kufikia malengo yaliyowekwa ya utoaji chanjo kwa watoto na wajawazito na kupunguza vifo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya

Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford wanasema kuwa jaribio la Chanjo dhidi ya ugonjwa wa Malaria imeonesha asilimia kubwa ya mafanikio

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya:Al shabaab yapata kipigo

Jeshi la Kenya linalopambana na kundi la wanamgambo la al-Shabaab linasema limewaua angalau wapiganaji 30 wa kundi hilo Kusini Magharibi mwa Somalia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu

Wanasayansi wa Kenya wameungana na wenzao wa kimataifa katika juhudi za kutafuta tiba ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.

Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya

Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto kupitia Mpango wa Taifa  Chanjo wameendesha semina maalumu kwa njia ya mtandao  kwa Waandishi wa Habari  zaidi ya 50 nchini.
Semina hiyo ya  siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya

Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani