Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi

BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yaweka maisha ya watu rehani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JOHN MNYIKA: Hata nikiweka maisha rehani, sitaacha kuisimamia serikali

SI lazima uwe mtu wa makamo ndio uwe kiongozi bora au mwanasiasa. Ukweli katika hilo unathibitika kwa kutazama jinsi baadhi ya vijana wanavyojikita katika siasa na kupata fursa ya kuongoza....

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali itaendelea kuimarisha Maisha ya Wananchi, Ellen

Afisa wa Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Bibi Ellen Maduhu akisoma hotuba katika Kamati ya Tatu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Na. Ally Kondo, New York

Serikali imetahadharisha kuwa endapo mchakato wa kuandaa Agenda ya Maendeleo baada ya Mwaka 2015 unaoendelea hivi sasa katika Umoja wa Mataifa, hautazingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu, dhamira ya kufikia maendeleo endelevu itakuwa ni ndoto kwa kuwa katika kila idadi ya watu watano duniani, mmoja wao ana...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali itaendelea kuimarisha Maisha ya Wananchi - Ellen Maduhu

Afisa wa Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Bibi Ellen Maduhu akisoma hotuba katika Kamati ya Tatu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Na. Ally Kondo, New York


Serikali imetahadharisha kuwa endapo mchakato wa kuandaa Agenda ya Maendeleo baada ya Mwaka 2015 unaoendelea hivi sasa katika Umoja wa Mataifa, hautazingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu, dhamira ya kufikia maendeleo endelevu itakuwa ni ndoto kwa kuwa katika kila idadi ya watu watano duniani, mmoja wao ana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Weka rehani upate mkopo

Suala la kupata mkopo kwa kuweka rehani kama saa au vito inaendelea kuwa mashuhuri barani Asia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola aweka rehani ubunge

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwambusi: Ubingwa upo rehani

Benchi la Ufundi la Yanga limepiga hesabu za kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu na kuibuka na mkakati wa kuhakikisha hilo linatimia.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA

1nh
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri. 2nhMh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF kuhusu huduma zinazotolewa na banda la NHIF katika Maonesho ya Wiki ya Serikali za Mitaa viwanja vya Mashujaa Mtwara. nh3Msururu wa wananchi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Sakata la Mbowe laweka rehani ndoa za wabunge

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema)SAKATA la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema), kutuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake, limeweka ndoa za wabunge shakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani