Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOHN MNYIKA: Hata nikiweka maisha rehani, sitaacha kuisimamia serikali

SI lazima uwe mtu wa makamo ndio uwe kiongozi bora au mwanasiasa. Ukweli katika hilo unathibitika kwa kutazama jinsi baadhi ya vijana wanavyojikita katika siasa na kupata fursa ya kuongoza....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yaweka maisha ya watu rehani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi

BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika

>Ulituahidi kuondoa kero ya machinga kabla ya kupata kura yangu, leo hii tunaishi kama popo mitaani umefanya jitihada gani mpaka sasa?

 

11 years ago

GPL

UJUMBE MUHIMU WA JOHN MNYIKA KWA WANACHALINZE

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano, Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika. KWA WANANCHI WA CHALINZE: SIKU YA KUFUNGA KAMPENI NA KUPIGA KURA
Leo Jumamosi 05 Aprili 2014 ni siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze na kesho Jumapili 06 Aprili 2014 ni siku ya…

 

10 years ago

Michuzi

MHE JOHN MNYIKA AMRITHI ZITTO KABWE CHADEMA

DK SLAA,SALUM MWALIM PAMOJA NA JOHN MNYIKA Uchaguzi ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo usiku huu umefikia tamati kwa kamati kuu ya chama hicho kupata viongozi wake wamwisho ambao ni KATIBU MKUU ,NAIBU KATIBU MKUU BARA pamoja na NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

MATOKEOKATIBU MKUU --DK WILLBROD SLAA--NAIBU KATIBU MKUU BARA---JOHN MNYIKANAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR--SALUM MWALIMViongozi awa waliteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

TAARIFA YA JOHN MNYIKA KUHUSU KUTORIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA WAZIRI WA MAJI

TAARIFA KWA UMMA Sijaridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Waziri wa Maji alipofanya ziara juzi na kunukuliwa na vyombo vya habari jana. Hivyo, naomba Waziri Mkuu achukue hatua zifuatazo:Mosi, atake Wizara ya Maji impatie nakala ya ripoti ya uchunguzi kuhusu kukatikakatika mara kwa mara kwa maji katika mitambo na maeneo ambayo yanahudumiwa na mitambo ya Ruvu juu. Baada ya kupata ripoti hiyo

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Dewji Blog

Mimi ndiye rais wa awamu ya tano, stishwi na mafuriko, hata Papa John II watu walifurika kumwona

press

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza na waandishi wa habari wa Star TV, TBC na ITV juu ya hali ya kampeni ilivyo hadi sasa.(PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, SINGIDA

ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama  cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, Hashim Rungwe, ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Serikali, TANESCO zinafilisiana

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuwa serikali na TANESCO kwa pamoja zinafilisiana, na hali hiyo inasababishwa na udhaifu katika Wizara ya Nishati na Madini. Mnyika alitoa kauli hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani