Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)

picha kwa na audio kwa hisani ya Millardayo.com

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika

>Ulituahidi kuondoa kero ya machinga kabla ya kupata kura yangu, leo hii tunaishi kama popo mitaani umefanya jitihada gani mpaka sasa?

 

10 years ago

Vijimambo

"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwaLusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge John Komba wa Tanzania afariki

Mbuge na msanii wa nyimbo za siasa nchini Tanzania Keptain John Komba amefariki jumamosi.

 

11 years ago

GPL

UJUMBE MUHIMU WA JOHN MNYIKA KWA WANACHALINZE

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano, Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika. KWA WANANCHI WA CHALINZE: SIKU YA KUFUNGA KAMPENI NA KUPIGA KURA
Leo Jumamosi 05 Aprili 2014 ni siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze na kesho Jumapili 06 Aprili 2014 ni siku ya…

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Walimu kortini kwa kuuza mafuta ya albino

>Walimu wawili wa Shule ya Msingi Maalumu Mtindo na mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta ya ngozi kwa ajili ya albino.

 

10 years ago

Michuzi

MHE JOHN MNYIKA AMRITHI ZITTO KABWE CHADEMA

DK SLAA,SALUM MWALIM PAMOJA NA JOHN MNYIKA Uchaguzi ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo usiku huu umefikia tamati kwa kamati kuu ya chama hicho kupata viongozi wake wamwisho ambao ni KATIBU MKUU ,NAIBU KATIBU MKUU BARA pamoja na NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

MATOKEOKATIBU MKUU --DK WILLBROD SLAA--NAIBU KATIBU MKUU BARA---JOHN MNYIKANAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR--SALUM MWALIMViongozi awa waliteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya hit ya ‘Duro’, mkali wa Nigeria time hii amekuja na hii nyingine…(+Audio)

Ni time ya ku enjoy single mpya iitwayo Maria kutoka kwa mkali mwenye hit single ya ‘Duro’ Tekno akiwa amemshirikisha Selebobo. Unaweza ukabonyeza play kuisikiliza single hiyo mpya Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote […]

The post Baada ya hit ya ‘Duro’, mkali wa Nigeria time hii amekuja na hii nyingine…(+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo Tazara waingia bungeni

Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisema Serikali inalishughulikia tatizo la mgomo wa wafanyakazi wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), ili kurejesha usafiri katika maeneo yaliyoathirika, wenyewe wamesisitiza kutorudi kazini hadi madai yao yatakapofanyiwa kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani