Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kufuta misamaha ya VAT

Serikali itawasilisha bungeni rasimu ya maboresho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ambayo itafuta misamaha ya kodi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha wabunge, yafuta misamaha ya kodi

>Waziri ya Fedha, Saada Salum Mkuya jana aliwasilisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2014, ambao umefuta misamaha ya kodi katika maeneo yaliyokuwa yakilalamikiwa na watu wa kada mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuangalia kodi ya VAT katika nyumba

WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka amesema watakaa na mamlaka husika na kuangalia uwezekano wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba, zinazojengwa na mifuko ya hifadhi ya jamii ili ziweze kuuzwa kwa wananchi kwa bei inayoridhisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi

MWENYEKITI  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi  kwenye vifaa vya  mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali kufuta ada sekondari



 Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini  
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu  Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa  sehemu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kufuta sheria kandamizi

TANZANIA imeahidi kuchukua hatua tano muhimu za kutetea na kuendeleza haki za wanawake kati ya sasa na mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kufanya mabadiliko makubwa ya kufuta sheria zinazokandamiza wanawake.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yashauriwa kufuta Jiji la Mwanza

KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeishauri Serikali kuifuta Halmashauri ya Jiji la Mwanza baada ya kubaini upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 40. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Rajab Mohammed Mbarouk alishauri hayo jana wakati wa kikao cha kupitia taarifa ya CAG ambapo alisema ubadhirifu huo ni wa kati ya mwaka 2010 hadi 2013.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge laridhia Serikali kufuta deni

Bunge limeridhia azimio la kufuta na kusamehe madai au hasara itokanayo na upotevu wa fedha na vifaa vya Serikali vya zaidi ya Sh10 bilioni za kipindi kilichoishia Juni 30, 2011.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kufuta mikataba ya wakandarasi wazembe

Serikali iko mbioni kufuta mikataba ya wakandarasi walioshindwa kukamilisha kazi ya kusambaza umeme vijijini kwa wakati uliopangwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yatishia kufuta leseni za wachimba madini

Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini inakusudia kufuta leseni 10 za uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Geita kutokana na wamiliki wake kushindwa kutekeleza taratibu na sheria za leseni za uchimbaji kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2010.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani