Bunge laridhia Serikali kufuta deni
Bunge limeridhia azimio la kufuta na kusamehe madai au hasara itokanayo na upotevu wa fedha na vifaa vya Serikali vya zaidi ya Sh10 bilioni za kipindi kilichoishia Juni 30, 2011.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Jun
Bunge laridhia Azimio la SADC
WATANZANIA wengi wataweza kufanya biashara na kuwekeza katika nchi za Kusini mwa Afrika kuanzia sasa.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s72-c/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
bunge la kenya laridhia ndoa ya wake wengi, mwanaume halazimiki kushauriana na mkewe kuwa anaoa tena
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s1600/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 May
Serikali kufuta misamaha ya VAT
9 years ago
Habarileo29 Sep
Serikali kufuta sheria kandamizi
TANZANIA imeahidi kuchukua hatua tano muhimu za kutetea na kuendeleza haki za wanawake kati ya sasa na mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kufanya mabadiliko makubwa ya kufuta sheria zinazokandamiza wanawake.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
10 years ago
Habarileo29 Oct
Serikali yashauriwa kufuta Jiji la Mwanza
KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeishauri Serikali kuifuta Halmashauri ya Jiji la Mwanza baada ya kubaini upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 40. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Rajab Mohammed Mbarouk alishauri hayo jana wakati wa kikao cha kupitia taarifa ya CAG ambapo alisema ubadhirifu huo ni wa kati ya mwaka 2010 hadi 2013.
11 years ago
Habarileo11 Mar
'Bunge Maalum mna deni kwa Watanzania'
WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuona wana deni kwa Watanzania la kuwapatia katiba nzuri ambayo italeta ustawi kwa miaka mingi ijayo. Hayo yalisemwa jana na Dora Mpilimbi ambaye ni balozi kiongozi katika kitongoji cha Chinangali mtaa wa Nala kata ya Nala wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hizi.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Serikali yatishia kufuta leseni za wachimba madini
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yajipanga kufuta usajili asasi za kijamii