Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yasikia kilio cha wabunge, yafuta misamaha ya kodi

>Waziri ya Fedha, Saada Salum Mkuya jana aliwasilisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2014, ambao umefuta misamaha ya kodi katika maeneo yaliyokuwa yakilalamikiwa na watu wa kada mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha ajira kwa vijana

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka katika vikundi 36 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajiwa kupewa maeneo ya kilimo na Serikali ili kuwainua kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yasikia kilio deni kubwa la MSD

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaHATIMAYE kilio cha wagonjwa kupoteza maisha na kuteseka, kutokana na uhaba mkubwa wa dawa katika hospitali nyingi nchini, kunakotokana na Bohari ya Taifa ya Dawa (MSD) kuishiwa dawa, kwa kutolipwa zaidi ya Sh bilioni 102 na Serikali, kimesikika.

 

10 years ago

Habarileo

Misamaha ya kodi yachefua wabunge

Zitto KabweKAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Serikali kufanya kila linalowezekana inapunguza misamaha ya kodi ambayo katika mwaka wa fedha 2013/14 ilipaa kwa Sh bilioni 340 kutoka Sh trilioni 1.48 hadi Sh trilioni 1.82 mwaka uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Misamaha ya kodi ni hasara’

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, chanzo ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa.

 

11 years ago

Habarileo

Misamaha ya kodi yapigwa kalenda

KAMATI ya Bunge ya Bajeti, imekataa kubariki Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na Muswada wa Sheria ya Utawala wa Kodi, ambayo ilikuwa iwasilishwe bungeni Jumatatu ijayo na kujadiliwa, ili misamaha ya kodi isiyo na tija ifutwe.

 

10 years ago

Habarileo

Washinikiza misamaha ya kodi ifutwe

WADAU wa asasi kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wameishauri serikali kufuta misamaha ya kodi ili fedha zitakazokusanywa ziweze kutumika kuboresha na kuimarisha huduma za kijamii ikiwemo elimu, afya na kilimo.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amemaliza kampeni zake mkoani hapa, akiahidi kuwakaba koo wawekezaji wakubwa wanaonufaika na misamaha ya kodi isiyokuwa na tija kwa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA yalia na misamaha ya kodi

>Misamaha ya kodi imekuwa ikilikosesha taifa zaidi ya Sh100 bilioni kwa mwezi, hatua ambayo Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) inaona ni kikwazo katika kufikia malengo ya ukusanyaji kodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani