Wahamiaji kujadiliwa,Malaysia
Mawaziri wa mambo ya nje wa Thailand,Malaysia na Indonesia wanafanya mkutano wa dharula mjini Kuala Lumpur kujadili wahamiaji haramu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Wahamiaji: Malaysia yakubali kuwapokea
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmxEpcM5NKRVYcj176nP8jC-vTe3qNFifzWYnR5EQTf7ojf7oMxlcw7TcPYwDNzLwhsgz7N*Z-WuHrnkLrGeUNq/MH3701.jpg?width=650)
PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
ALAT wapinga rasimu kujadiliwa
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT), Dk. Didas Masaburi, amelitaka Bunge Maalumu la Katiba kukataa kujadili rasimu ya Katiba kutokana na rasimu hiyo kutotambua mamlaka ya Serikali za...
10 years ago
Habarileo19 Aug
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa
![Mashine za EFD](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/EFD.jpg)
Mashine za EFD
RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.
Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...