SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA
AZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili hatimaye iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Wasira: Ilani ya CCM iko mbioni kukamilika
11 years ago
Habarileo15 Jul
Pinda-Sera ya Diaspora yaandaliwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
11 years ago
Mwananchi26 May
Mradi wa magadi mbioni kukamilika
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Tamthilia ya Mama Kubwa mbioni kukamilika
NA GEORGE KAYALA
TAMTHILIA mpya iliyopewa jina la Mama Kubwa inayoandaliwa na Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, ipo mbioni kukamilika baada ya kuandaliwa kwa muda mrefu na kuna uwezekano wa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu.
Akizungumza na MTANZANIA jana mmoja wa waandaaji hao ambaye pia ni mmiliki wa kampuni hiyo, William Mtitu, alisema anaamini kazi hiyo itakuwa nzuri kwani waigizaji wamejitahidi kuonyesha uhalisia wakati wa kucheza tamthilia hiyo ambayo itakuwa ni ya kufungia...
10 years ago
GPLUJENZI WA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO MBIONI KUKAMILIKA
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ujenzi bomba jipya Ruvu Chini mbioni kukamilika
UJENZI wa bomba jipya kutoka mtambo wa Ruvu Chini kwenda matenki yaliyoko Chuo cha Ardhi, Dar es Salaam unakaribia kukamilika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dHcrNavZkd8/XrAIhjhc7SI/AAAAAAALpDE/PvuVZKH_e4Ey4_41veLQ-NCcqFZcUb0SQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0120.jpg)
BANDARI KAVU KWALA MBIONI KUKAMILIKA ,NDITIYE AAGIZA USIMAMIZI KAMILIFU
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye amesema ,ujenzi wa mradi wa bandari kavu Kwala,Kibaha mkoani Pwani ni utekelezaji wa maagizo ya Rais dkt.John Magufuli ya kupunguza msongamano kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Kutokana na hilo ,Nditiye ameitaka Bodi ya Bandari kusimamia kikamilifu na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia 100 ifikapo mwezi Juni 2020. Aliyasema hayo ,wakati wa mapokezi ya Treni ya kwanza iliyoleta makasha 20 kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Sera ya Diaspora yakamilika
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya sera ya Diaspora ipo katika hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa serikali ili iwasilishwe kwenye Baraza...
11 years ago
Habarileo21 Mar
SMZ yaandaa sera ya diaspora kuvutia walio nje
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema tayari imeweka mazingira mazuri ambayo yatasaidia Wazanzibari waliopo nje ya nchi kuwekeza Zanzibar na kusaidia katika miradi mbalimbali. Hayo yalisemwa na Mshauri wa Rais anayeshughulikia vitega uchumi na uwekezaji Balozi Mohamed Ramia wakati akifungua mkutano uliowashirikisha Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi.