Sera ya Diaspora yakamilika
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya sera ya Diaspora ipo katika hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa serikali ili iwasilishwe kwenye Baraza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jul
Pinda-Sera ya Diaspora yaandaliwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
11 years ago
Michuzi14 Jul
SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...
11 years ago
Habarileo21 Mar
SMZ yaandaa sera ya diaspora kuvutia walio nje
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema tayari imeweka mazingira mazuri ambayo yatasaidia Wazanzibari waliopo nje ya nchi kuwekeza Zanzibar na kusaidia katika miradi mbalimbali. Hayo yalisemwa na Mshauri wa Rais anayeshughulikia vitega uchumi na uwekezaji Balozi Mohamed Ramia wakati akifungua mkutano uliowashirikisha Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi.
11 years ago
Michuzi17 Feb
TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country

The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...
10 years ago
Vijimambo
DIASPORA KUTOKA MAREKANI WAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR


11 years ago
GPL
TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT
10 years ago
Vijimambo
FIRM: CONFIRMED: BEYOND THE REASONABLE DOUBT: MWANA DIASPORA KUELEKEA BUNGENI KWA SAUTI YA DIASPORA

Ndugu zangu wana Diaspora; Nimeanza kazi ya kutengeneza vipeperushi na harakati nyingine za kampeni. Tunatarajia kuzindua kampeni Jumapil August, 30, 2015. Leo nimetengeneza vipeperushi vya kuvaa shingoni 500 kwa Tsh 400/= each. Vinahitajika atleast 20,000. Nimetengeneza 16 vikubwa vya kuweka kwenye magari, Tsh 6250/= each. Jimbo ni kubwa sana; lina wapiga kura 143,189.
Kwa leo nimetumia Tsh 300,000/= kwa vipeperushi 500 vya shingoni na 16 vikubwa kwaajili ya kuweka kwenye magari. Vya...
11 years ago
Michuzi29 Oct
TANZANIA DIASPORA INITIATIVE (TDI) — a response to the needs of the Tanzanians in the Diaspora!
The question that lingered in...
11 years ago
Michuzi
RAIS JK AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, WANA-DIASPORA KIBAO WAHUDHURIA


