Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda-Sera ya Diaspora yaandaliwa

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA

AZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili hatimaye iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Diaspora yakamilika

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya sera ya Diaspora ipo katika hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa serikali ili iwasilishwe kwenye Baraza...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yaandaa sera ya diaspora kuvutia walio nje

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema tayari imeweka mazingira mazuri ambayo yatasaidia Wazanzibari waliopo nje ya nchi kuwekeza Zanzibar na kusaidia katika miradi mbalimbali. Hayo yalisemwa na Mshauri wa Rais anayeshughulikia vitega uchumi na uwekezaji Balozi Mohamed Ramia wakati akifungua mkutano uliowashirikisha Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapinduzi mengine yaandaliwa Burundi

Mmoja wa viongozi katika mapinduzi yaliyozimwa nchini Burundi hivi karibuni ya kumpindua Rais Piere Nkurunziza ameiambia BBC kuwa waasi wao wamekuwa wakiwapa mafunzo polisi na askari kwa ajili ya jaribio jingine la kumwondoa rais Pierre Nkurunziza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo

Congo-Brazzaville inaandaa kura ya maamuzi leo kuhusu marekebisho ya katiba ambayo yatakayomuwezesha Rais Sassou Nguesso kuwania kwa muhula wa tatu.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country

We Tanzanians in the  Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support. Dual Citizenship ni : 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya Maendeleo ya Nchi
The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...

 

10 years ago

Vijimambo

DIASPORA KUTOKA MAREKANI WAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR

 Diaspora toka Marekani wakihudhuria kongamano la Diaspora 2015 lililoanza leo katika hotel ya Serena iliyopo jijini Dar Es Salaam Kutoka kushoto ni Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Idd Sandaly, Bi. Agnetta Kamgisha na Mariam Kalala Nyang'oro kutoka Jumuiya ya Watanzania Nort CarolinaWatanzania wakiwakilisha Diaspora kutoka Marekani wakihudhuria kongamano la Diaspora la Ubia SMEs 2015 Serena Hotel jijini Dar. Kutoka kushoto ni Agnetta Kamgisha, Mariam Kalala Nyang'oro na Asha...

 

11 years ago

GPL

TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT

Dual Citizenship ni: 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani