Pinda-Sera ya Diaspora yaandaliwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Jul
SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Sera ya Diaspora yakamilika
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya sera ya Diaspora ipo katika hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa serikali ili iwasilishwe kwenye Baraza...
11 years ago
Habarileo21 Mar
SMZ yaandaa sera ya diaspora kuvutia walio nje
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema tayari imeweka mazingira mazuri ambayo yatasaidia Wazanzibari waliopo nje ya nchi kuwekeza Zanzibar na kusaidia katika miradi mbalimbali. Hayo yalisemwa na Mshauri wa Rais anayeshughulikia vitega uchumi na uwekezaji Balozi Mohamed Ramia wakati akifungua mkutano uliowashirikisha Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Mapinduzi mengine yaandaliwa Burundi
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo
11 years ago
Michuzi17 Feb
TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country
![We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support.](http://change-production.s3.amazonaws.com/photos/9/js/eb/cdJSeBVAIcMIltF-556x313-noPad.jpg?1392350851)
The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OiLSf5KrRvE/VcxdaWlRjpI/AAAAAAAD3H4/mYueyzMgT8A/s72-c/898eff182bcd19f96236a36c848e86a5.jpg)
DIASPORA KUTOKA MAREKANI WAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-OiLSf5KrRvE/VcxdaWlRjpI/AAAAAAAD3H4/mYueyzMgT8A/s640/898eff182bcd19f96236a36c848e86a5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xdKQKD08vQA/VcxddSoY7QI/AAAAAAAD3IA/QE4kqVtN2iA/s640/d2b02c49f75871e06147388c0fbefaf9.jpg)
11 years ago
GPL![](http://change-production.s3.amazonaws.com/photos/9/js/eb/cdJSeBVAIcMIltF-556x313-noPad.jpg?1392350851)
TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT