Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yaandaa sera ya diaspora kuvutia walio nje

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema tayari imeweka mazingira mazuri ambayo yatasaidia Wazanzibari waliopo nje ya nchi kuwekeza Zanzibar na kusaidia katika miradi mbalimbali. Hayo yalisemwa na Mshauri wa Rais anayeshughulikia vitega uchumi na uwekezaji Balozi Mohamed Ramia wakati akifungua mkutano uliowashirikisha Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali yaandaa Sera mpya ya bima

Serikali inaandaa sera mpya ya Bima itakayosimamia haki ya matibabu kwa abiria wanaopata ajali za barabarani wakati wanaposafiri na vyombo vya usafiri katika maeneo mbalimbali nchini.

Serikali imeanzisha pia Mahakama ya Bima itakayosimamia usuluhishi wa malalamiko ya malipo ya bima kutoka kwa abiria wasioridhishwa na malipo yanayofanywa na baadhi ya kampuni za bima pindi wanapopata ajali.

Maandalizi ya Sera hiyo yamebainishwa na Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania, TIRA,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Diaspora yakamilika

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya sera ya Diaspora ipo katika hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa serikali ili iwasilishwe kwenye Baraza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yaongoza kuvutia mitaji ya nje ya uwekezaji

TANZANIA inaongoza kama nchi yenye mitaji mikubwa ya uwekezaji toka nje katika Afrika Mashariki. Kwa mujibu wa taarifa ya hivi karibuni ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Biashara na...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda-Sera ya Diaspora yaandaliwa

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu, itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.

 

11 years ago

Michuzi

SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA

AZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili hatimaye iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...

 

10 years ago

Raia Mwema

Watanzania walio nje wana mchango mkubwa wakipewa fursa

AGOSTI 13 mpaka 15 ya mwaka huu, kutakuwa na kongamano kubwa litakalowakutanisha Watanzania waish

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

UNIC yaelimisha siku ya choo kwa vijana walio nje ya shule

Siku ya choo duniani ambayo huadhimishwa tarehe 19 Novemba. UNIC waliadhimisha siku hii kwa kuwakutanisha vijana walioko nje ya shule  tarehe 23 Desemba 2014 kwa lengo la kuwaelimisha na kuwahamasisha  utumiaji wa vyoo ili na wao waweze kuelimisha jamii zinazowazunguka juu ya umuhimu wa kuwa na vyoo. Tukio hili liliwakutanisha vijana toka vikundi 5:   Azimio Youth Group, Makangarawe Youth Development Fund, Mashine Ya Maji Youth Development Centre,Temneke Youth Development Foundation na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi

"Watanzania walio nje ya nchi wabaki hukohuko ikizidi Jumamosi, watuache tupumue,"Hamad Rashid waziri wa Afya Zanzibar.

 

9 years ago

Michuzi

ELIMU YA STADI ZA MAISHA KUOKOA KUNDI KUBWA LA VIJANA WALIO NJE YA SHULE

Afisa vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Godfrey Massawe (aliyesimama) akifuatilia majadiliano ya wawezeshaji kitaifa wakati wa kazi za kikundi kwenye Mafunzo ya Uwezeshaji wa Stadi za Maisha yaliyofanyika Kanda ya Ziwa.


Na: Genofeva Matemu - Maelezo

ILIGUNDULIKA kuwa ulimwenguni kote na hususan nchini Tanzania, Vijana walio nje ya shule ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari ya magonjwa yanayoenea kwa njia ya ngono, VVU na UKIMWI kwa kutokuwa na taarifa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani