Watanzania walio nje wana mchango mkubwa wakipewa fursa
AGOSTI 13 mpaka 15 ya mwaka huu, kutakuwa na kongamano kubwa litakalowakutanisha Watanzania waish
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Abdulmaliki Mollel: Wanafunzi wanaosoma nje ya nchi wana uwigo mkubwa wa kuajirika
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ksP68NcpRE/VhbuCeWZ4PI/AAAAAAABm24/0H-k5M90JhM/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-05%2Bat%2B3.54.41%2BPM.png)
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
VITU vinavyofanya wanafunzi kwenda kusoma nje ya nchi ni kutokana kozi wanayoenda kusoma zina uwigo mkubwa wa ajira ambapo vyuo vya ndani havina kozi hizo.
Akizungumza na katika kongamano la saba la vyuo vikuu la kujadili mstakabali wa elimu nchini, lililofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL), Abdulmaliki Mollel amesema kuwa wanafunzi kwenda...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Jaji Bomani akabidhi tuzo kwa Watanzania waliotoa mchango mkubwa kutetea haki na jamii nchini
Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.
Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha skafu yenye Neno Tanzania Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema.
Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya uwazi na ukweli Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises.
Jaji mstaafu Mark Bomani Skafu Saed Kubenea taasisi ya Dream Success...
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
10 years ago
VijimamboJAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANAâ€
10 years ago
GPLJAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANA
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Mchango wa kijana ni mkubwa kwa taifa hili!
NINA kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunivusha na kuuona mwaka mwingine. Nachukua fursa hii kuwashukuru wote walionitumia ujumbe baada ya kusoma makala ya wiki iliyopita. Tumejipanga vipi kuhakikisha mwaka...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa