KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA SANAA TANZANIA AZINDUA CD YA WASANII KUHUSU KATIBA MPYA
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wasanii Februari 28,2014 katika ukumbi vijana kinondoni jijini Dar es Salaam, kuhusu viongozi mbalimbali wa Sanaa hapa nchini kwenda mkoani Dodoma Bungeni kupeleka ujumbe wa matakwa ya wasanii kuingizwa katiba Katiba mpya. Kutoka kulia ni Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili, Addo November, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Godfrey...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rxkBN0R96M/VI1pE7Keu6I/AAAAAAAG3Hs/DT4Rij6th0E/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i3trQkc8jPs/VI1pFPBTVxI/AAAAAAAG3H0/2KAhyO1CVnQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s72-c/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Dkt. Charles Msonde ndiye Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s1600/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam jioni ya jana, Alhamisi, Agosti 14, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa uteuzi huo ulianza juzi, Jumatano, Agosti 13, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Msonde alikuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo hilo la mitihani.
Dkt. Msonde anachukua nafasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TUp3iuV6Edg/default.jpg)
Shilole Akiongelea ni kuhusu Baraza la sanaa Tanzania [BASATA] kumfungia...
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/07/127_shilole3.jpg?resize=573%2C416)
Shilole amelalamikia uwamuzi wa BASATA kumfungia kufnya muziki na shughuli za kisanii kwa muda wa mwaka mmoja, Hii video Exclusive kutoka FahamuTv na Sammisago.com, Audio ya Sauti kutoka BASATA Inasikia pia.
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Viongozi na Wasanii wa Vyama vya Mashirikisho ya Sanaa wasisitiza kuhusu ujio wa Ujumbe wao Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET) Bw. John Kitime (kushoto) akiwahutubia waandishi wa Habari pamoja na Wasanii waliohudhuria mkutano uliofanyika mjini Dodoma 27 Agosti, 2014. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
VIONGOZI na Wasanii toka baadhi ya Vyama na Mashirikisho ya Sanaa nchini wameendelea kuhabarisha umma juu ya ujio wa Ujumbe wao wenye malengo mawili ya msingi ya kutaka wasanii kutambuliwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXWpjaERRj20yX5zey-MhDdSHFmyK5PNe6grMN*tQ0YkvPqG4Xze8HtRbOsYBbZAnm*0QiWiF19LGDqbbz0Hvei/1k1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA URUSI, NAIBU KATIBU MTENDAJI WA TUME YA MIPANGO
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete amuapisha Balozi mpya wa Tanzania Urusi, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 15, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha baada ya kumuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Paul Thomas Sangawe kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya...
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
10 years ago
GPLWAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA
9 years ago
VijimamboKaimu Katibu Mkuu azungumza na waandishi wa Habari kuhusu Wiki ya Umoja wa Mataifa