MHESHIMIWA ZUNGU KWA WABUNGE KUHUSU USIMAMIZI WA MISITU YA ASILI NCHINI
Na Omary Machunda , Ofisi ya Bunge DodomaWABUNGE wanaounda Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE) wamepewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wabunge juu ya usimamizi bora wa misitu ya asili iliyomo nchini.
Akizungumza katika mafunzo hayo Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Mussa Zungu alisema kutokana na kutoweka kwa kasi kwa misitu mingi ya asili, Wizara yake inalo jukumu kubwa kuhakikisha hali hiyo inadhibitiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Aidha, Zungu alitoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9l26CrgDE0Q/U26En-q46oI/AAAAAAAFgsk/DjNEY_CI0go/s72-c/IMG_8783.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Usimamizi mbovu misitu wakosesha bil. 6/-
SERIKALI inapoteza zaidi ya sh bilioni 6 ya mapato kwa mwaka zitokanazo na mazao ya rasilimali ya misitu kutokana na mirabaha midogo na usimamizi mbovu wa leseni za uvunaji. Kaimu...
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Misitu ya asili hatarini kutoweka
Na Safina Sarwatt, Moshi
MISITU ya asili nchini ipo hatarini kutoweka kutokana na uharibifu wa mazingira unaofanywa na binadamu na kuongezeka kwa joto.
Kutokana na hali hiyo imeelezwa kuwa kuna ya kuibuka kwa kasi magonjwa ya milipuko yanayosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Balozi wa Mabadiliko ya Tabianchi nchini, Mchungaji Profesa Aidani Msafiri alikuwa akizungumza katika kongamano la vijana na viongozi wa dini mjini Moshi.
Alisema kuwa uoto wa asili nchini umetoweka kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s72-c/5.jpg)
MJUMITA: TUCHAGUE VIONGOZI WATAKAO TETEA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s640/5.jpg)
Na Father Kidevu Blog
Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (MJUMITA) leo imeanza mkutano wake Mkuu wa Siku mbili ambao kwanza umeanza na Warsha ya siku moja ya wadau wote wa mtandao huo. Wajum,be na wadau wa Mjumita kesho Agosti 18, watafanya mkutano...
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
Michuzi03 Mar
SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2RTBIQD9MMM/U5nhyp1iYDI/AAAAAAAFqJI/dwlPAAJlTGk/s72-c/unnamed+(33).jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDH MHESHIMIWA SAADA MKUYA SALUM (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15
![](http://1.bp.blogspot.com/-2RTBIQD9MMM/U5nhyp1iYDI/AAAAAAAFqJI/dwlPAAJlTGk/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
HOTUBA YA MHESHIMIWA CECILIA DANIEL PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016