Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-

HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Harambee ya Bugadea yakusanya mil. 8/-

SHILINGI milioni 8.8 zimekusanywa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Afya cha Buganguzi, wilayani Muleba iliyoratibiwa na Umoja wa Maendeleo ya Buganguzi (Bugadea). Akizungumza katika harambee hiyo iliyofanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Harambee yakusanya sh20 milioni

Jumla ya Sh20 milioni zimepatikana katika harambee ya kuchangia mfuko wa Umoja wa Wanasegerea Mjimwema (Uwasemji) ambao ulizinduliwa rasmi wiki iliyopita ukiwa na lengo la kuwajengea uwezo kiuchumi wakazi wa eneo hilo na kutatua changamoto tofauti zinazowakabili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yakusanya bil. 516/-

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umepata mafanikio kwa mwaka wa fedha 2013 kwa kukusanya sh bilioni 516.5. Akizungumzia utendaji wa mfuko huo katika mkutano mkuu wa tatu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-

DSC05520

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya  lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.

DSC05514

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-

TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amref yabadili jina, nembo

SHIRIKA la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Afrika Medical and Research Foundation (Amref) limezindua rasmi jina na nembo yake mpya ambapo sasa litajulikana kama Amref Health Africa Tanzania. Uzinduzi huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi

WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchumi wasaini makubaliano na AMREF

DUKA la kujihudumia la Uchumi limeingia katika makubaliano maalumu na Mfuko wa Matibabu na Utafiti wa Kiafrika (AMREF) ili kuhakikisha michango yake inakuwa na matokeo makubwa kwa walengwa. Meneja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani