Amref yabadili jina, nembo
SHIRIKA la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Afrika Medical and Research Foundation (Amref) limezindua rasmi jina na nembo yake mpya ambapo sasa litajulikana kama Amref Health Africa Tanzania. Uzinduzi huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Google yabadili mwonekano wa Nembo yake
11 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA
wa Amref Health Africa baada ya Uzinduzi.
SHIRIKA la kimataifa...
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi
Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.
.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya
.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...
9 years ago
MichuziNIKO INSURANCE LIMITED YABADILI JINA NA KUWA SANLAM GENERAL INSURENCE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSH-9VHCLi0/VHw9GxUKFQI/AAAAAAAG0fg/gKnCA1K7wWU/s72-c/African-Barrick-Gold1.jpg)
Kampuni ya AFRICAN BARRICK GOLD yabadili jina,sasa kuitwa “Acacia”
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSH-9VHCLi0/VHw9GxUKFQI/AAAAAAAG0fg/gKnCA1K7wWU/s1600/African-Barrick-Gold1.jpg)
Acacia ni mti ambao ndiyo chimbuko la jina letu jipya, ni mti unaonekana kuwa ni...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Kampuni ya Niko Insurance Limited yabadili jina na kuwa Sanlam General Insurance
Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Insurance Ndugu Manasseh Kawaloka Akitoa Hotuba yake Kwenye halfa ya Kampuni ya NIKO Insurance Limited Ilipobadili Jina na kuwa Sanlam General Insurance.
Kampuni ya Bima Niko limited Imebadili jina na kuwa Sanlam General Insurance Limited.Mabadiliko hayo yanalenga Kupanua Wigo Na kuimarisha uwepo wake Nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa Jumla.Sanlam General Insuarence Itaendelea Kutoa Huduma Mbalimbali za BimaKwa Wateja Binafsi na Mashirika...
10 years ago
Habarileo11 Oct
Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-
HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.
11 years ago
TheCitizen05 Jul
Amref to train over 3,000 midwives
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi
WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...