Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Niko Insurance Limited yabadili jina na kuwa Sanlam General Insurance

Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Insurance Ndugu Manasseh Kawaloka  Akitoa Hotuba yake Kwenye halfa ya Kampuni ya NIKO Insurance Limited Ilipobadili Jina na kuwa Sanlam General Insurance.

Kampuni ya Bima Niko limited Imebadili jina na kuwa Sanlam General Insurance Limited.Mabadiliko hayo yanalenga Kupanua Wigo Na kuimarisha uwepo wake Nchini Tanzania na Afrika Mashariki  kwa Jumla.Sanlam General Insuarence Itaendelea Kutoa Huduma Mbalimbali za BimaKwa Wateja Binafsi na Mashirika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NIKO INSURANCE LIMITED YABADILI JINA NA KUWA SANLAM GENERAL INSURENCE

Afisa Mtendaji Mkuu wa iliyokuwa NIKO Insurance Bw. Manasseh Kawoloka akizungumza mbele ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya kubadilisha jina la kampuni hiyo ambapo sasa inaitwa Sanlam General Insurance. Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.Kampuni ya Bima Niko Insurance limited Imebadili jina na kuwa Sanlam General Insurance Limited.Mabadiliko hayo yanalenga Kupanua Wigo Na kuimarisha uwepo wake Nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa Jumla.Sanlam...

 

9 years ago

TheCitizen

NIKO Insurance now goes by Sanlam General Insurance

A Tanzanian insurance firm, NIKO Insurance, has rebranded to Sanlam General Insurance (Tanzania) limited as it seeks to strengthen its identity and expand visibility in East African markets.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya African Life Assurance yabadilisha jina kuwa Sanlam Life Insurance

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam Life Insurance Ndg. Julius Magabe Tayari kwa uzinduzi wa  Kampuni ya Sanlan.

 DSC_0408

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda (wa pili kushoto) akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg. Julius Magabe, (wa pili kulia) pamoja na Mtendaji Mkuu wa umoja wa makampuni ya Sanlam. Ndugu.Ian Kirk..Israel Kamuzora, Kamishna wa Bima katika Mamlaka...

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar

Mwenyekiti wa bodi wa Resolution Insurance, Richard Kasosola (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Karikoo la kampuni hiyo uliofanyika Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Oscar Asir na Mkurugenzi wa Utoaji Bima ya Afya wa Kampuni hiyo, Leonard Chacha. Mkurugenzi wa Kampuni Resolution Insurance, Oscar Asir (kushoto) akiwaelekeza mandhali ya ofisi ya tawi jipya la ofisi hiyo iliyopo Lumumba Kariakoo,Mwenyekiti wa bodi wa kampuni hiyo,...

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni ya AFRICAN BARRICK GOLD yabadili jina,sasa kuitwa “Acacia”

Kampuni ya African Barick Gold (ABG) inayo furaha kutangaza kuwa imebadili jina lake na sasa na itatambulika kama Acacia Mining plc. Mabadiliko haya ni sehemu ya jitihada kubwa za kubadilisha mtazamo na mkakati wake mpya wa kazi yetu kubwa katika uchimbaji wa madini. Mabadiliko haya yamekuja baada ya wanahisa wa kampuni kukubaliana na kupiga kura ya kupitisha maamuzi haya jana tarehe 26 mwezi Novemba mwaka 2014.
Acacia ni mti ambao ndiyo chimbuko la jina letu jipya, ni mti unaonekana kuwa ni...

 

11 years ago

Dewji Blog

BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi

BMTL CEO

Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.

.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya

.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania 

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YAAFRICAN LIFE ASSURENCE YABADILISHA JINARSNI KUWA SANLAM LIFE

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda  Akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg.Julius Magabe Tayari kwa Uzinduzi wa  Kampuni ya Sanlan. Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda wa Pili Kushoto Akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg.Julius Magabe, wa pili kulia Pamoja na Mtendaji Mkuu wa umoja wa makampuni ya Sanlam.Ndugu.Ian Kirk..Israel Kamuzora, Kamishna wa Bima katika Mamlaka ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Medical insurance now accessible to everyone

Jamal Kondo is a carpenter and a small-scale trader in Dar es Salaam. One day, he fell ill and was admitted at Zakhem hospital in Mbagala. Luckily for him, he had an insurance plan and did not have to worry about the high cost of healthcare in Tanzania.

 

10 years ago

TheCitizen

Make insurance relevant

Few people see the need for insurance until disaster has befallen them. It’s not until they end up paying for the cost of repairs or replacement of what they have lost, that they come to understand their folly.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani