Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIKO INSURANCE LIMITED YABADILI JINA NA KUWA SANLAM GENERAL INSURENCE

Afisa Mtendaji Mkuu wa iliyokuwa NIKO Insurance Bw. Manasseh Kawoloka akizungumza mbele ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya kubadilisha jina la kampuni hiyo ambapo sasa inaitwa Sanlam General Insurance. Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.Kampuni ya Bima Niko Insurance limited Imebadili jina na kuwa Sanlam General Insurance Limited.Mabadiliko hayo yanalenga Kupanua Wigo Na kuimarisha uwepo wake Nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa Jumla.Sanlam...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Niko Insurance Limited yabadili jina na kuwa Sanlam General Insurance

Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Insurance Ndugu Manasseh Kawaloka  Akitoa Hotuba yake Kwenye halfa ya Kampuni ya NIKO Insurance Limited Ilipobadili Jina na kuwa Sanlam General Insurance.

Kampuni ya Bima Niko limited Imebadili jina na kuwa Sanlam General Insurance Limited.Mabadiliko hayo yanalenga Kupanua Wigo Na kuimarisha uwepo wake Nchini Tanzania na Afrika Mashariki  kwa Jumla.Sanlam General Insuarence Itaendelea Kutoa Huduma Mbalimbali za BimaKwa Wateja Binafsi na Mashirika...

 

9 years ago

TheCitizen

NIKO Insurance now goes by Sanlam General Insurance

A Tanzanian insurance firm, NIKO Insurance, has rebranded to Sanlam General Insurance (Tanzania) limited as it seeks to strengthen its identity and expand visibility in East African markets.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya African Life Assurance yabadilisha jina kuwa Sanlam Life Insurance

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam Life Insurance Ndg. Julius Magabe Tayari kwa uzinduzi wa  Kampuni ya Sanlan.

 DSC_0408

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda (wa pili kushoto) akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg. Julius Magabe, (wa pili kulia) pamoja na Mtendaji Mkuu wa umoja wa makampuni ya Sanlam. Ndugu.Ian Kirk..Israel Kamuzora, Kamishna wa Bima katika Mamlaka...

 

11 years ago

Dewji Blog

BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi

BMTL CEO

Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.

.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya

.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania 

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amref yabadili jina, nembo

SHIRIKA la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Afrika Medical and Research Foundation (Amref) limezindua rasmi jina na nembo yake mpya ambapo sasa litajulikana kama Amref Health Africa Tanzania. Uzinduzi huo...

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni ya AFRICAN BARRICK GOLD yabadili jina,sasa kuitwa “Acacia”

Kampuni ya African Barick Gold (ABG) inayo furaha kutangaza kuwa imebadili jina lake na sasa na itatambulika kama Acacia Mining plc. Mabadiliko haya ni sehemu ya jitihada kubwa za kubadilisha mtazamo na mkakati wake mpya wa kazi yetu kubwa katika uchimbaji wa madini. Mabadiliko haya yamekuja baada ya wanahisa wa kampuni kukubaliana na kupiga kura ya kupitisha maamuzi haya jana tarehe 26 mwezi Novemba mwaka 2014.
Acacia ni mti ambao ndiyo chimbuko la jina letu jipya, ni mti unaonekana kuwa ni...

 

10 years ago

CloudsFM

Niko tayari kuwa Baba wakambo wa Watoto wa Salima

Msanii wa muziki wa bongo fleva Sunday Mjeda maarufu kama Linex ambaye anatamba kwa sasa na wimbo wake mpya wa Salima leo amefunguka kupitia kipindi cha Clouds360 na kusema idea ya wimbo huo imetokana na salma ambaye alikuwa rafiki yake wakati anasoma Shule ya msingi na alikuwa msaada wake katika baadhi ya vitu vya shule Linex aliendelea kufunguka na kusema Anatamani siku moja aje kuwa Baba wa kambo wa watoto wa salima kwani anaona anampenda salima kiukweli japo Salima hataki ata kuongea...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YAAFRICAN LIFE ASSURENCE YABADILISHA JINARSNI KUWA SANLAM LIFE

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda  Akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg.Julius Magabe Tayari kwa Uzinduzi wa  Kampuni ya Sanlan. Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda wa Pili Kushoto Akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg.Julius Magabe, wa pili kulia Pamoja na Mtendaji Mkuu wa umoja wa makampuni ya Sanlam.Ndugu.Ian Kirk..Israel Kamuzora, Kamishna wa Bima katika Mamlaka ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya jina la Janeth kuwa wake wa marais

Kila mzazi anapokaribia kupata mtoto, moja ya mambo muhimu ambayo hufikiria juu ya jina la kumpatia baada ya kujifungua na mtoto kuishi duniani. Wazazi wengi huchukua muda kufikiria ni jina gani zuri la kumpa mtoto wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani