BILIONI 2.2 ZAREJESHA USAFIRI WA KIVUKO KWA WANANCHI WA KITUNDA NA MANISPAA YA LINDI
Kivuko cha M.V Kitunda kikiendelea kutoa huduma za usafiri wa abiria, mizigo na magari katika Manispaa ya Lindi kama kilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari MAELEZO hivi karibuni.
Na Mwandishi WetuSEKTA ya Uchukuzi inatoa mchango mkubwa katika shughuli za maendeleo ya uchumi na pia ni mwezeshaji mkubwa wa sekta za uzalishaji, biashara na usambazaji wa bidhaa na huduma katika soko la kitaifa na kimataifa.
Usafirishaji wa bidhaa na huduma katika masoko, hutegemea zaidi mfumo wa uchukuzi wenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s72-c/04.jpg)
TCAA watoa Elimu ya Usafiri wa Anga kwa wananchi waliofika kwenye maonesho ya Nanena yanayofanyika Ngongo, Lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s640/04.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fUTdt9PRtKc/VcOscd9n7rI/AAAAAAAHuuw/CRsRaD0E1h8/s640/05.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TUUoi_f0Pn8/VcOsc3thu4I/AAAAAAAHuu0/EpGPqxnEKJQ/s640/06.jpg)
5 years ago
MichuziBILIONI 32/- ZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO ZILIVYOREJESHA HUDUMA YA MAJI MANISPAA YA LINDI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4.-1-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3.-1024x576.jpg)
Sehemu mbalimbali za eneo la Mradi wa Maji Ng’apa katika Manispaa ya Lindi ukiwa katika utekelezaji kama ilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari (MAELEZO) wakati wa ziara ya timu ya Maafisa Habari waliotembelea mradi huo hivi karibuni Mkoani Lindi.
Picha na MAELEZO.
………………………………………………………………………………….
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO
DAR ES SALAAM
AZIMIO namba 64/292 la mwaka 2010 la Umoja wa Mataifa linatamka kuwa huduma ya maji na usafi wa mazingira ni haki ya msingi ya binadamu na pia ni hitaji...
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
TANESCO yawatesa wananchi wa Mwanagati Kitunda kwa kukosekana umeme siku tatu mfululizo
Na Mwandishi wetu
Kwa habari tulizozipokea hivi punde toka kwa wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam zinasemekana kwamba wananchi wa maeneo haya hawana umeme kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana mpaka sasa na hakuna taarifa zozote toka shirika la umeme Tanesco kuelezea hali hii inayoendelea mpaka sasa.
Wananchi mbalimbali wakielezea, walisema hawakupata taarifa yoyote ile toka Tanesco na mpaka sasa wengi wao wamepata hasara kubwa kibiashara kutokana na tatizo ili na upande...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AZURU LINDI/ AHUTUBIA MKUTANO MKUBWA LINDI MANISPAA, AKABIDHI BATI 100 NA VYOMBO VYA BENDI SHULE YA SEKONDARI ANGAZA
11 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA YASAINI MKATABA WA BILIONI 2.1 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATA ZA KIVULE NA KIPUNGUNI
11 years ago
GPLMANISPAA YA ILALA YASAINI MKATABA WA BILIONI 2.1 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATA ZA KIVULE NA KIPUNGUNI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s72-c/12.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI SAFI MKOANI LINDI,AWAAGA WANANCHI WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s640/12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p4G-gnmk8Cw/VcaxHM1SuyI/AAAAAAAAjos/yx-4BHGbhmg/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5ULtBA7jpA/Vca4qJQ_n6I/AAAAAAAAjqE/lAmZ6lJ2V9k/s640/08.jpg)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA MADARASA YA AWALI KATIKA MANISPAA YA LINDI MJINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s72-c/kinondoni.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALI MBALI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s1600/kinondoni.jpg)
Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha ...