siku ya wakulima kijiji cha Laela wilaya ya Sumbawanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-hmnaTAEAnfo/VUKpsyAlXJI/AAAAAAAHUaY/S7XeisBKi2A/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Mradi wa kutekeleza tija ya uzalishaji katika nyanda za juu kusini umekuwa na mafanikio kwa wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao kwa kutumia kilimo hifadhi lakini changamoto kubwa imeonekana ni ukosefu wa masoko . Mradi huo ambao unafadhiliwa na mtandao wa mapinduzi ya kijani barani Afrika (AGRA )unatekelezwa na mashirika manne katika wilaya sita za mikoa ya Mbeya na Rukwa katika mazao manne kutokana na eneo husika ambayo ni Mahindi , mpunga , Soya na maharage kwa kutumia kilimo hifadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUSAFI WA MAZINGIRA KIJIJI CHA KOJANI WILAYA YA WETE, PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s72-c/P5239263.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA RCC NA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA KUANZISHA MAJIMBO MAWILI MAPYA YA UCHAGUZI KATIKA WILAYA ZA SUMBAWANGA NA KALAMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s640/P5239263.jpg)
Majimbo hayo yatazaliwa katika majimbo yaliyopo hivi sasa ambapo kwa jimbo la Kwela ambalo lipo katika Wilaya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7qGg_Xh4ex0/VnjEVbYdsUI/AAAAAAAAXic/k-UvmAdQmzE/s72-c/LOLIONDO.jpg)
WARAGHABISHI WA KIJIJI CHA OLOLOSOKWANI WILAYA YA LOLIONDO WAPIGWA MSASA NA PALISEP
![](http://4.bp.blogspot.com/-7qGg_Xh4ex0/VnjEVbYdsUI/AAAAAAAAXic/k-UvmAdQmzE/s640/LOLIONDO.jpg)
Na Kisuma Mapunda,Loliondo
Sasa ni dhahiri waraghbishi wanatambua majukumu na haki zao ndani ya jamii. Uelewa wao umewapa fursa ya kuchukua hatua na kusimamia kile wanachoamini kwa manufaa ya wanajamii wanaowatumikia.
Watu hawa wamekuwa mhimili muhimu wa kuleta mabadiliko katika maeneo wanayoishi. Lakini inapendeza zaidi kuona...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mvua kubwa zaaribu zaidi ya ekari 10 za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida!!
Vifaa vya kufungua maji ili yaweze kusambazwa katika vito vya kusambazia maji ili wananhi waweze kuanza kunufaika na mradi huo ambao mpaka sasa haijulikani huduma hiyo itaanza kutolewa lini maana mkandarasi licha ya mkandarasi kutomaliza kazi,vile vile hajulikani alipokwenda.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na,Jumbe Ismailly,
[SINGIDA] Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Singida zimeharibu zaidi ya ekari kumi za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida kufuatia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s72-c/0.jpg)
MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI WALETA MAAFA KATIKA KIJIJI CHA DIHINDA MVOMERO MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s640/0.jpg)
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiangalia Ng'ombe walio uwawa katika Mgogoro wa wakulima na Wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero, katika tukio lililotokea Desemba 12 mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/--wvG5uXh-KY/Vm7DOrlg-vI/AAAAAAADDk4/fZ4ZK3TzV00/s640/e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xs_vq68dQOM/U_DJB_XuRLI/AAAAAAAGAR4/eLzh_ggcS3k/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi seif atembelea Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ Zanzibar
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ISYGvMYj3qg/Ve5lGbBoVSI/AAAAAAABHF4/Ygx4rD5NlgE/s72-c/305.jpg)
BALOZI SEIF AFANYA MKUTANO NA WANA CCM WA KIJIJI CHA KWALE WILAYA YA MICHEWENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ISYGvMYj3qg/Ve5lGbBoVSI/AAAAAAABHF4/Ygx4rD5NlgE/s640/305.jpg)
Iddi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni wakati alipowasili kuzungumza nao.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3L1e44JTUeY/Ve5lGnMluwI/AAAAAAABHGA/cnBYzU1aL-I/s640/306.jpg)
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CPWXVKkDoWU/Ve5lGcnF4eI/AAAAAAABHF8/cIak0fXS2ec/s640/316.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7W-IS0LZY7E/Ve5lHtfmHOI/AAAAAAABHGI/R2_VmEkawsY/s640/317.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ll8ep0H_iwQ/Ve5lHwrjQ7I/AAAAAAABHGM/agUx21iJhV4/s640/323.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA UVINZA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA ZAHANATI YA KISASA KIJIJI CHA MAZUNGWE MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Plu8Z8QFAY/VnpIizIBY5I/AAAAAAADEGg/b63fPS7KUQQ/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-27OGa9R2Z74/VnpIiiJzgbI/AAAAAAADEGc/du-amjLJkxU/s640/C.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfEga51sJjA/VnpIjd_HcLI/AAAAAAADEGk/NkxfvJZKFpQ/s640/E.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9PIh30vhw6g/VdQ3hcrkGgI/AAAAAAAD3kM/1PjQhK048S0/s72-c/6dc469a90c237810c290a97b05a6d6a0.jpg)
IDDI SANDALY ATOA MSAADA WA COMPUTER SHULE YA SEKONDARi YA KIJIJI CHA MTIBWANI, WILAYA YA MAINA MKOANI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9PIh30vhw6g/VdQ3hcrkGgI/AAAAAAAD3kM/1PjQhK048S0/s640/6dc469a90c237810c290a97b05a6d6a0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_vypyqrjQ4/VdQ3lyznmtI/AAAAAAAD3ls/1H5rkKqBISk/s640/bbe8bddb389b8becb7ce3a3184830c7a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASuG5deT2o4/VdQ3jnMEmkI/AAAAAAAD3lI/kAGw68Tc_j4/s640/9fe096f9977d87d219efb9879ef270e0.jpg)