MKUU WA WILAYA YA UVINZA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA ZAHANATI YA KISASA KIJIJI CHA MAZUNGWE MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mrisho Gambo akishirikiana na wanakijiji cha Mazungwe kilichopo kata ya kazuramimba Wilaya ya Uvinza kuchimba msingi wa zahanati ya kijiji hicho.Picha na Editha Karlo wa Globu ya Jamii Kigoma.
Wananchi wa kijiji cha mazungwe wakisomba matofali kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa zahanati ya kijiji chao
Sehemu ya msingi imekamilika,inafuata hatua ya awali ya ujenzi zahanati hiyo ya kisasa katika kijiji cha Mazungwe
Wananchi wa kijiji cha mazungwe wakisomba matofali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s72-c/IMG_6760.jpg)
WANANCHI KIJIJI CHA MADINDO MLANGALI WASHIRIKIANA NA MBUNGE NA DIWANI WAO KUJENGA MRADI WA MAJI WA MILIONI 15
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s1600/IMG_6760.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpqGfJy3-w/U_b6RbhyuvI/AAAAAAABskU/UP5OtlKAoT8/s640/IMG_6835.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCMHb01tmsk/U_b8ghKfHDI/AAAAAAABsk8/et-DICiBMiY/s640/IMG_6879.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBbMOVTPjaU/U_b714LEEoI/AAAAAAABsk0/OPT_RtImZqE/s640/IMG_6871.jpg)
10 years ago
GPLBALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA KUJENGA CHUO CHA KISASA CHA UFUNDI (VETA) NA KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MKOA
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
WLF waendelea kukabidhi nyumba za watumishi wa afya katika kijiji cha Mabanda wilayani Kibondo mkoani Kigoma
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kibondo Ayubu Sebabili (kulia) akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Nyumba ya Mganga yenye uwezo wa Kukaliwa na Familia Mbili baada ya kukabidhiwa Nyumba hiyo na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu (wa pili kulia).
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu(aliyesimama) akizungumza katika hafla ya kukabidhi Nyumba ya Mganga kwa Uongozi wa Kijiji cha Mabamba Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma.
Katibu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9PIh30vhw6g/VdQ3hcrkGgI/AAAAAAAD3kM/1PjQhK048S0/s72-c/6dc469a90c237810c290a97b05a6d6a0.jpg)
IDDI SANDALY ATOA MSAADA WA COMPUTER SHULE YA SEKONDARi YA KIJIJI CHA MTIBWANI, WILAYA YA MAINA MKOANI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9PIh30vhw6g/VdQ3hcrkGgI/AAAAAAAD3kM/1PjQhK048S0/s640/6dc469a90c237810c290a97b05a6d6a0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_vypyqrjQ4/VdQ3lyznmtI/AAAAAAAD3ls/1H5rkKqBISk/s640/bbe8bddb389b8becb7ce3a3184830c7a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASuG5deT2o4/VdQ3jnMEmkI/AAAAAAAD3lI/kAGw68Tc_j4/s640/9fe096f9977d87d219efb9879ef270e0.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMwijage azindua mradi wa umeme uliobuniwa na wananchi kijiji cha Lilondo mkoani Ruvuma
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amezindua mradi wa umeme wa kiasi cha kilowati 40 uliobuniwa na wananchi katika kijiji cha Lilondo, wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma ambapo jumla ya nyumba 100 zimeshafaidika kwa kuunganishwa na huduma ya umeme.
Akiwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, Naibu waziri Mwijage, alitembelea na kukagua mitambo pamoja na...
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Wananchi wa Ibaga kutumia milioni 88,703,000/= kujenga Zahanati
Majengo ya zahanati yanayoendelea kujengwa na mara yatakapokamilika yanatarajia kugharimu jumla ya shilingi 88,703,000/= na litawahudumia wakazi 5,190 wanaoishi katika kaya 865.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Mkalama
WANANCHI wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi,wilaya ya Mkalama,Mkoani Singida wanatarajia kutumia jumla ya shilingi 88,703,000/= kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Kijiji hicho iliyoanza kujengwa mwaka 2013.
Hayo yamesemwa na afisa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AOD-_DwPPJU/UxDY-rYjhwI/AAAAAAACbUs/wGdXT1MgI7c/s72-c/5.jpg)
MWIGULU NCHEMBA ,MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA WASHIRIKI MAZISHI YA WANANCHI WATATU KIJIJI CHA KIDAMALI MKOANI IRINGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AOD-_DwPPJU/UxDY-rYjhwI/AAAAAAACbUs/wGdXT1MgI7c/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vMeOFDgeMqo/UxDY_r8OhtI/AAAAAAACbU4/9X2kmwlvkuM/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0MHsT3fWYjQ/UxDZCrvKosI/AAAAAAACbVA/1jLQdG4Vmbg/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-krjBOryrzyM/UxDZDRXS06I/AAAAAAACbVI/eNSPXlWxJ80/s1600/8.jpg)