MAWAKALA ZAIDI YA 300 MWANZA WAWEZESHWA KUPATA MIKOPO
Afisa Masoko wa Airtel kanda ya ziwa akiongea na mawakali mara baada ya kuendesha semina inayowapatia fursa Mawakala wa Airtel Money nchi nzima kupata mikopo kupitia simu zao za mkononi. Wakala wa Airtel Money katika maeneo ya Metro Mwanza, Bwana John Hainga akichangia mada wakati wa semina ya mawakala inayowapatia fursa ya kupata mikopo isiyo na dhamana ijulikanayo kama Timiza Mikopo kwa Mawakala Kampuni ya simu za mkononi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0*xsU4tU-0yv*sh*UU1XpSTHllDd96mNWzA1lz86ABe3NFPeNFGV1STwsqJGZd6K7eBcah3Pg-FBGdrzb449N4/1.jpg)
AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rESxDTzqI14/VdRw9dkPlTI/AAAAAAAHyJM/L9qSyb-ksgs/s72-c/1.jpg)
AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY
![](http://3.bp.blogspot.com/-rESxDTzqI14/VdRw9dkPlTI/AAAAAAAHyJM/L9qSyb-ksgs/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OJUt4pRGGx4/VdRw9dagFXI/AAAAAAAHyJQ/nG19XYAWAxk/s640/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Rweikiza aviwezesha vikundi kupata mikopo
ZAIDI ya vikundi 200 vimewezeshwa kupata mikopo isiyo na riba ya zaidi ya sh milioni 150 inayoratibiwa na Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza. Pia mbunge huyo mapema mwaka huu...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo