Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rweikiza aviwezesha vikundi kupata mikopo

ZAIDI  ya vikundi 200 vimewezeshwa kupata mikopo isiyo na riba ya zaidi ya sh milioni 150  inayoratibiwa na Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza. Pia mbunge huyo mapema mwaka huu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB's) na kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kutoka NMB kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 kutokana na taarifa zao za mikopo kuendelea kuwepo kwenye mfumo wa Benki hiyo.Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4

NMB-1

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .

NMB -2

Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...

 

10 years ago

Michuzi

MH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA

Mgeni rasmi Hamad Rashid ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Wawi kupitia CUF akizunguza na wanafunzi walioudhuria kwenye siku ya Career Day iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Biashara (CBE) jijini Dar es SalaamRais wa Serikali ya Wanafunzi Katika Chuo cha Biashara,(CBE),Ramadhani S Kirungi akiwakaribisha wageni mbalimbali katika siku ya "CAREER DAY" iliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho Jijini Dar es salaamAfisa wa PSPF Hadji Jamadary akiwa anafafanua na kuelezea  kuhusu na...

 

5 years ago

CCM Blog

KALIUA YATOA MIKOPO YA MILIONI 332 KWA VIKUNDI

NA TIGANYA VINCENTHALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imetoa mikopo ya shilingi milioni 332 kwa vikundi mbalimbali ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani.

Mikopo hiyo imekabidhiwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jaffo kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri hiyo.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo , Mkurugenzi Mtendaji Dkt. John Pima alisema kati ya fedha shilingi milioni 215 kwa vikundi 38.
Alisema wametoa pikipiki 10...

 

10 years ago

Michuzi

NAMNA YA KUPATA TIN NAMBA YA KAMPUNI,NGOs NA VIKUNDI/SACCOS

Na  Bashir  Yakub. 
Nilipoandika  kuhusu  namna  ya  kuunda kampuni  kwa  mujibu  wa  Sheria ya  Makampuni  sura ya 212 nilieleza  pia   kuwa   unapokuwa  umekamilisha  usajili  wa  kampuni     na  umepata  cheti  cha  usajili   yapo  mambo  mengine  ya  kufanya  kabla  ya  kuanza  rasmi  biashara. 
Moja  ya  mambo  hayo  nilisema   ukishapata  cheti unatakiwa  uende  manispaa  husika  ukapate  leseni  ya  biashara. Manispaa husika  ni  manispaa  ambako  ofisi  ya  kampuni  yako  itakuwa....

 

10 years ago

Dewji Blog

Mradi wa Mwanamke Mwezeshe wa WAMA wakopesha wanachama wa vikundi vya Hisa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9

img_08581

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda  – Maelezo , Nachingwea

Jumla ya mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 zimetolewa kwa wanachama wa vikundi vya kukopa na kuweka akiba vilivyopo chini ya mradi wa Mwanamke Mwezeshe unaosimamiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).

Hayo yamesemwa na  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa vikundi vya mradi wa Mwanamke...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Serikali itapunguza gharama za kukopa fedha kwa riba katika taasisi za fedha na benki nchini, baada ya Benki ya Rasilimali (TIB) kuingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, katika kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa miradi yote ya maendeleo ikiwamo ya sekta ya uchukuzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo

Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA), kimelitaka Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) liwape mbinu wajasiriamali wadogo ili waweze kupata mikopo katika taasisi za fedha.

 

9 years ago

GPL

MAWAKALA ZAIDI YA 300 MWANZA WAWEZESHWA KUPATA MIKOPO

Afisa Masoko wa Airtel kanda ya ziwa akiongea na mawakali mara baada ya kuendesha semina inayowapatia fursa Mawakala wa Airtel Money nchi nzima kupata mikopo kupitia simu zao za mkononi. Wakala wa Airtel Money katika maeneo ya Metro Mwanza, Bwana John Hainga akichangia mada wakati wa semina ya mawakala inayowapatia fursa ya kupata mikopo isiyo na dhamana ijulikanayo kama Timiza Mikopo kwa Mawakala Kampuni ya simu za mkononi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani