Rweikiza aviwezesha vikundi kupata mikopo
ZAIDI ya vikundi 200 vimewezeshwa kupata mikopo isiyo na riba ya zaidi ya sh milioni 150 inayoratibiwa na Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza. Pia mbunge huyo mapema mwaka huu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KALIUA YATOA MIKOPO YA MILIONI 332 KWA VIKUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mikopo hiyo imekabidhiwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jaffo kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri hiyo.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo , Mkurugenzi Mtendaji Dkt. John Pima alisema kati ya fedha shilingi milioni 215 kwa vikundi 38.
Alisema wametoa pikipiki 10...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tv-ATKUmjZU/VcEswWql3KI/AAAAAAAHuP4/40YDVy1kkgo/s72-c/TIN.jpg)
NAMNA YA KUPATA TIN NAMBA YA KAMPUNI,NGOs NA VIKUNDI/SACCOS
![](http://2.bp.blogspot.com/-tv-ATKUmjZU/VcEswWql3KI/AAAAAAAHuP4/40YDVy1kkgo/s640/TIN.jpg)
Nilipoandika kuhusu namna ya kuunda kampuni kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni sura ya 212 nilieleza pia kuwa unapokuwa umekamilisha usajili wa kampuni na umepata cheti cha usajili yapo mambo mengine ya kufanya kabla ya kuanza rasmi biashara.
Moja ya mambo hayo nilisema ukishapata cheti unatakiwa uende manispaa husika ukapate leseni ya biashara. Manispaa husika ni manispaa ambako ofisi ya kampuni yako itakuwa....
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mradi wa Mwanamke Mwezeshe wa WAMA wakopesha wanachama wa vikundi vya Hisa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo , Nachingwea
Jumla ya mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 zimetolewa kwa wanachama wa vikundi vya kukopa na kuweka akiba vilivyopo chini ya mradi wa Mwanamke Mwezeshe unaosimamiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hayo yamesemwa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa vikundi vya mradi wa Mwanamke...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo
9 years ago
GPLMAWAKALA ZAIDI YA 300 MWANZA WAWEZESHWA KUPATA MIKOPO