Wananchi wazuia usimikaji wa nguzo za minara ya umeme wa 400KV, Msigiri Iramba, hawajalipwa fidia
Kijiko cha kampuni inayojenga nguzo za umeme za 400KV kutoka Shinyanga – Singida (KEC) kikifukia mashimbo ambayo tayari yalikuwayamechimbwa kwa ajili ya kusimika minara katika kijiji cha Misigiri Kata ya Ulemo Wilayani Iramba, kutokana na wananchi 17 kutolipwa fidia za mashamba yao na shirika la ugavi wa umeme TANESCO.
Mfanyakazi wa Kampuni ya KEC wakishangaa eneo la Site iliyozuiwa kusimikwa minara na wananchi wa kijiji cha Misigiri.
Mwenyekiti wa kijiji cha Misigiri Nelson Kiula...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme
MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Nguzo za zege kuleta neema ya umeme
UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...
11 years ago
GPLNGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Wananchi wazuia msafara wa Lowassa
Na Fredy Azzah, Korogwe
MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.
Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia kuwa hiyo ni...
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wananchi wazuia msafara wa Kinana
NA ELIYA MBONEA, BAHI
MAMIA ya wananchi katika Kata ya Msisi, Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma, wamesimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakitaka kupata ufafanuzi wa majengo ya Shule ya Msingi Msisi yaliyoezuliwa na mvua mwaka 2011.
Kinana alikutana na hali hiyo juzi saa 12:30 jioni alipokuwa akitoka katika vijiji vya Kongogo, Chonde, Irindi, Nguju na Lamaiti akielekea mjini Dodoma.
Kinana yuko mkoani Dodoma kushiriki shughuli za maendeleo, kukagua utekelezaji wa ilani...
11 years ago
GPLNGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR
10 years ago
MichuziSerikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s72-c/1.jpg)
Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXWbG8ksrqk/U_cUtFa72MI/AAAAAAACn2c/yS4Lt7JfRE4/s1600/4.jpg)
9 years ago
Vijimambo13 Aug
WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822644_827287600721233_2620922360165982130_n.jpg?oh=30d1fd602b9591b48172e87f53c3c3c2&oe=56358E5B)
![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-a.ak/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11831757_827287364054590_1791934242648327718_n.jpg?oh=5066f7bfd12f58c6d28c4f0454d0129c&oe=564439DB&__gda__=1446612703_f0c7dac3f41baa4289dd711753ff29b7)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11836864_724179194375654_117757421434648460_n.jpg?oh=40087e796db36e7d108417f1a91b80c5&oe=563EF695)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/q87/s480x480/11891002_724179221042318_3026052792472242809_n.jpg?oh=383006701de1dbb6e1d4c9e8b977077c&oe=56488AC3)
Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com