Wananchi wazuia msafara wa Kinana
NA ELIYA MBONEA, BAHI
MAMIA ya wananchi katika Kata ya Msisi, Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma, wamesimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakitaka kupata ufafanuzi wa majengo ya Shule ya Msingi Msisi yaliyoezuliwa na mvua mwaka 2011.
Kinana alikutana na hali hiyo juzi saa 12:30 jioni alipokuwa akitoka katika vijiji vya Kongogo, Chonde, Irindi, Nguju na Lamaiti akielekea mjini Dodoma.
Kinana yuko mkoani Dodoma kushiriki shughuli za maendeleo, kukagua utekelezaji wa ilani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Wananchi wazuia msafara wa Lowassa
Na Fredy Azzah, Korogwe
MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.
Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia kuwa hiyo ni...
9 years ago
Vijimambo13 Aug
WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822644_827287600721233_2620922360165982130_n.jpg?oh=30d1fd602b9591b48172e87f53c3c3c2&oe=56358E5B)
![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-a.ak/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11831757_827287364054590_1791934242648327718_n.jpg?oh=5066f7bfd12f58c6d28c4f0454d0129c&oe=564439DB&__gda__=1446612703_f0c7dac3f41baa4289dd711753ff29b7)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11836864_724179194375654_117757421434648460_n.jpg?oh=40087e796db36e7d108417f1a91b80c5&oe=563EF695)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/q87/s480x480/11891002_724179221042318_3026052792472242809_n.jpg?oh=383006701de1dbb6e1d4c9e8b977077c&oe=56488AC3)
Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com
9 years ago
StarTV25 Aug
Wananchi wazuia msafara wa Mgombea mwenza wa CCM-Mwanga
![Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00882.jpg)
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.
![Mjumbe Mkuu wa Baraza Kuu la Wanawake na Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Same, Anjela Kailuki akizungumza alipokuwa anamnadi Bi. Samia Suluhu,](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_01511.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cQ8S54b4_1Q/XoY5aKGMN2I/AAAAAAAAI-I/wVSv9EgwpnYtXzCDzOTWjsatbwcfRtZ4QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200402_142937_162.jpg)
WAMACHNGA SOKO LA SAMUNGE WAKOSHWA NA RC GAMBO WAZUIA MSAFARA WAKE KWA MUDA HUKU WAKIIMBA CCM CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-cQ8S54b4_1Q/XoY5aKGMN2I/AAAAAAAAI-I/wVSv9EgwpnYtXzCDzOTWjsatbwcfRtZ4QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_142937_162.jpg)
Sehemu ya Soko la Samunge linavyoonekana Mara baada ya kufanyiwa Usafi baada ya kuteketea kwa Moto mwishoni mwa wiki iliyopita picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-finpAFAQnzM/XoY5bSWL42I/AAAAAAAAI-M/jryT6McFra0UCBuyhZCDS7v7mh3YhBuEgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_142952_823.jpg)
Muonekano wa Soko la machinga Samunge kama lilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha leo leo majira ya jioni wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
![](https://1.bp.blogspot.com/-MMrZLjCIlGg/XoY5fUWxvPI/AAAAAAAAI-Q/3gC0nneco8oMC2CadTuiec-t_njQhyONACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_143003_384.jpg)
Pichani ni eneo la Magharibi la soko la Samunge lilivyoonekana jioni hii baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa Mabati Mia Saba ya kuanza ujenzi wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Wanavijiji wasimamisha msafara wa Kinana
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi ulilazimika kusimama kwa dakika kadhaa baada ya wakazi wa baadhi ya vijiji vya Jimbo la Chemba, kuusimamisha.
Kusimama kwa msafara huo kulitokana na wakazi wa vijiji hivyo kusimama barabarani wakiwa na mabango yanayoelezea kilio cha kukosekana kwa maji.
Msafara huo wa Kinana ulikumbana na kadhia hiyo, ulipofika
katika vijiji vya Songoro, Goima, Itolwa, Mrijo na Jenjelusi, maeneo ambayo wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la maji...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Wananchi wazuia usimikaji wa nguzo za minara ya umeme wa 400KV, Msigiri Iramba, hawajalipwa fidia
Kijiko cha kampuni inayojenga nguzo za umeme za 400KV kutoka Shinyanga – Singida (KEC) kikifukia mashimbo ambayo tayari yalikuwayamechimbwa kwa ajili ya kusimika minara katika kijiji cha Misigiri Kata ya Ulemo Wilayani Iramba, kutokana na wananchi 17 kutolipwa fidia za mashamba yao na shirika la ugavi wa umeme TANESCO.
Mfanyakazi wa Kampuni ya KEC wakishangaa eneo la Site iliyozuiwa kusimikwa minara na wananchi wa kijiji cha Misigiri.
Mwenyekiti wa kijiji cha Misigiri Nelson Kiula...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Mkulima auteka msafara wa Kinana Nzega, auelekeza shambani kwake
Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha hama hicho baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadharauliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye wakiwapungia mikono wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega...
11 years ago
GPLMKULIMA AUTEKA MSAFARA WA KINANA NZEGA, AUELEKEZA SHAMBANI KWAKE