WAMACHNGA SOKO LA SAMUNGE WAKOSHWA NA RC GAMBO WAZUIA MSAFARA WAKE KWA MUDA HUKU WAKIIMBA CCM CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-cQ8S54b4_1Q/XoY5aKGMN2I/AAAAAAAAI-I/wVSv9EgwpnYtXzCDzOTWjsatbwcfRtZ4QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200402_142937_162.jpg)
Sehemu ya Soko la Samunge linavyoonekana Mara baada ya kufanyiwa Usafi baada ya kuteketea kwa Moto mwishoni mwa wiki iliyopita picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Muonekano wa Soko la machinga Samunge kama lilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha leo leo majira ya jioni wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
Pichani ni eneo la Magharibi la soko la Samunge lilivyoonekana jioni hii baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa Mabati Mia Saba ya kuanza ujenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Aug
Wananchi wazuia msafara wa Mgombea mwenza wa CCM-Mwanga
![Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00882.jpg)
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.
![Mjumbe Mkuu wa Baraza Kuu la Wanawake na Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Same, Anjela Kailuki akizungumza alipokuwa anamnadi Bi. Samia Suluhu,](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_01511.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA MSAFARA WAKE WAWASILI LEO MKOANI GEITA NA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C3u2IVT-euM/VX8fBnwFhiI/AAAAAAAHfwQ/H9viT7ppeqw/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJUIJGg0nY4/VX8fSVHbxqI/AAAAAAAHfxw/M659oGqgWLY/s640/20.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Tisa washikiliwa kwa tuhuma za kushambulia msafara wa mgombea wa CCM
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Wananchi wazuia msafara wa Lowassa
Na Fredy Azzah, Korogwe
MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.
Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia kuwa hiyo ni...
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wananchi wazuia msafara wa Kinana
NA ELIYA MBONEA, BAHI
MAMIA ya wananchi katika Kata ya Msisi, Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma, wamesimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakitaka kupata ufafanuzi wa majengo ya Shule ya Msingi Msisi yaliyoezuliwa na mvua mwaka 2011.
Kinana alikutana na hali hiyo juzi saa 12:30 jioni alipokuwa akitoka katika vijiji vya Kongogo, Chonde, Irindi, Nguju na Lamaiti akielekea mjini Dodoma.
Kinana yuko mkoani Dodoma kushiriki shughuli za maendeleo, kukagua utekelezaji wa ilani...
9 years ago
Vijimambo13 Aug
WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822644_827287600721233_2620922360165982130_n.jpg?oh=30d1fd602b9591b48172e87f53c3c3c2&oe=56358E5B)
![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-a.ak/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11831757_827287364054590_1791934242648327718_n.jpg?oh=5066f7bfd12f58c6d28c4f0454d0129c&oe=564439DB&__gda__=1446612703_f0c7dac3f41baa4289dd711753ff29b7)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11836864_724179194375654_117757421434648460_n.jpg?oh=40087e796db36e7d108417f1a91b80c5&oe=563EF695)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/q87/s480x480/11891002_724179221042318_3026052792472242809_n.jpg?oh=383006701de1dbb6e1d4c9e8b977077c&oe=56488AC3)
Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Up2Riims6Js/VRE0TW6GmhI/AAAAAAAHM18/aHW_Om8UlN8/s72-c/1.jpg)
MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WAPOKELEWA KWA FARASI MIKOCHENI -WILAYA YA MOSHI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Up2Riims6Js/VRE0TW6GmhI/AAAAAAAHM18/aHW_Om8UlN8/s1600/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao.
Katika mkutano wa leo wa CCM wa huko Konde, Pemba nilikuwa nimejipanga kuurusha moja kwa moja kama kawaida yangu ya kurusha mikutano ya kampeni inayofanyika kisiwani Pemba. Teari nimesharusha live mikutano mitatu ya chama cha Wananchi […]
The post Walinzi wa viongozi wa CCM wazuia waandishi binafsi katika mikutano ya kampeni zao. appeared first on Mzalendo.net.