Wananchi wazuia msafara wa Lowassa
Na Fredy Azzah, Korogwe
MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.
Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia kuwa hiyo ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo13 Aug
WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822644_827287600721233_2620922360165982130_n.jpg?oh=30d1fd602b9591b48172e87f53c3c3c2&oe=56358E5B)
![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-a.ak/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11831757_827287364054590_1791934242648327718_n.jpg?oh=5066f7bfd12f58c6d28c4f0454d0129c&oe=564439DB&__gda__=1446612703_f0c7dac3f41baa4289dd711753ff29b7)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11836864_724179194375654_117757421434648460_n.jpg?oh=40087e796db36e7d108417f1a91b80c5&oe=563EF695)
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/q87/s480x480/11891002_724179221042318_3026052792472242809_n.jpg?oh=383006701de1dbb6e1d4c9e8b977077c&oe=56488AC3)
Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wananchi wazuia msafara wa Kinana
NA ELIYA MBONEA, BAHI
MAMIA ya wananchi katika Kata ya Msisi, Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma, wamesimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakitaka kupata ufafanuzi wa majengo ya Shule ya Msingi Msisi yaliyoezuliwa na mvua mwaka 2011.
Kinana alikutana na hali hiyo juzi saa 12:30 jioni alipokuwa akitoka katika vijiji vya Kongogo, Chonde, Irindi, Nguju na Lamaiti akielekea mjini Dodoma.
Kinana yuko mkoani Dodoma kushiriki shughuli za maendeleo, kukagua utekelezaji wa ilani...
9 years ago
StarTV25 Aug
Wananchi wazuia msafara wa Mgombea mwenza wa CCM-Mwanga
![Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00882.jpg)
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.
![Mjumbe Mkuu wa Baraza Kuu la Wanawake na Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Same, Anjela Kailuki akizungumza alipokuwa anamnadi Bi. Samia Suluhu,](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_01511.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cQ8S54b4_1Q/XoY5aKGMN2I/AAAAAAAAI-I/wVSv9EgwpnYtXzCDzOTWjsatbwcfRtZ4QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200402_142937_162.jpg)
WAMACHNGA SOKO LA SAMUNGE WAKOSHWA NA RC GAMBO WAZUIA MSAFARA WAKE KWA MUDA HUKU WAKIIMBA CCM CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-cQ8S54b4_1Q/XoY5aKGMN2I/AAAAAAAAI-I/wVSv9EgwpnYtXzCDzOTWjsatbwcfRtZ4QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_142937_162.jpg)
Sehemu ya Soko la Samunge linavyoonekana Mara baada ya kufanyiwa Usafi baada ya kuteketea kwa Moto mwishoni mwa wiki iliyopita picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-finpAFAQnzM/XoY5bSWL42I/AAAAAAAAI-M/jryT6McFra0UCBuyhZCDS7v7mh3YhBuEgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_142952_823.jpg)
Muonekano wa Soko la machinga Samunge kama lilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha leo leo majira ya jioni wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
![](https://1.bp.blogspot.com/-MMrZLjCIlGg/XoY5fUWxvPI/AAAAAAAAI-Q/3gC0nneco8oMC2CadTuiec-t_njQhyONACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_143003_384.jpg)
Pichani ni eneo la Magharibi la soko la Samunge lilivyoonekana jioni hii baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa Mabati Mia Saba ya kuanza ujenzi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Wananchi wazuia usimikaji wa nguzo za minara ya umeme wa 400KV, Msigiri Iramba, hawajalipwa fidia
Kijiko cha kampuni inayojenga nguzo za umeme za 400KV kutoka Shinyanga – Singida (KEC) kikifukia mashimbo ambayo tayari yalikuwayamechimbwa kwa ajili ya kusimika minara katika kijiji cha Misigiri Kata ya Ulemo Wilayani Iramba, kutokana na wananchi 17 kutolipwa fidia za mashamba yao na shirika la ugavi wa umeme TANESCO.
Mfanyakazi wa Kampuni ya KEC wakishangaa eneo la Site iliyozuiwa kusimikwa minara na wananchi wa kijiji cha Misigiri.
Mwenyekiti wa kijiji cha Misigiri Nelson Kiula...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu
9 years ago
Mwananchi13 Aug
Msafara wa Lowassa wazuiwa kumzika Kisumo
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Polisi Moshi: Ilikuwa ni lazima kuzuia msafara wa Lowassa
Na Upendo Mosha, Mosha
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro limetoa ufafanuzi kwa vyomba vya habari kuhusiana na uamuzi wake wa kuzuia msafara wa mgombea wa urais Chadema, Edward Lowassa, likisema kuwa lilifanya hivyo kutokana na wingi wa magari na pikipiki zilizokuwa zikimsindikiza.
Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence Ngonyani, alisema msafara uliokuwa ukimsindikiza Lowassa kwenye mazishi ya aliyekuwa mwasisi wa Chama Cha Mapinduzi, Peter Kisumo,...