Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msafara wa Lowassa wazuiwa kumzika Kisumo

Polisi mjini Mwanga, mkoani Kilimanjaro umezuia msafara wa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa uliokuwa unaelekea Usangi kuhudhuria mazishi ya kada wa CCM, Peter Kisumo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete kumzika Kisumo leo

imageNa Upendo Mosha, Moshi

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuongoza mamia ya waombolezaji katika ibada ya mazishi ya aliyekuwa mwasisi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama,  wakati akizungumza na MTANZANIA, ambapo alisema mwanasiasa huyo mkongwe atazikwa katika makaburi ya familia kijijini kwao Usangi wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

 

Alisema kuwa Rais Kikwete  anatarajia kuongoza...

 

9 years ago

Mwananchi

Msafara wa mgombea urais wa ACT wazuiwa

Msafara wa mgombea urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo umezuiwa kwa muda na wananchi wa Wilaya ya Nachingwea, wakidai kuwa na wao wanahitaji baraka kutoka kwa mgombea huyo baada ya kuzikosa kwa muda mrefu.

 

9 years ago

Daily News

Police deny blocking Lowassa from Kisumo funeral


Police deny blocking Lowassa from Kisumo funeral
Daily News
POLICE in Kilimanjaro Region have denied blocking a convoy of former prime minister and UKAWA presidential candidate, Mr Edward Lowassa, from attending the funeral of Mzee Peter Kisumo, which was held at Usangi, Mwanga District on Thursday.

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa kept away from Kisumo burial as police block motorcade

Former Prime Minister Edward Lowassa did not attend the funeral of veteran politician Peter Kisumo after anti-riot police officers blocked his motorcade from reaching Usangi, the site of the burial in Mwanga District.

 

9 years ago

GPL

LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!

Mwandishi Wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, imefahamika. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Duru za siasa kutoka ndani ya Ukawa, zimebainisha kwamba, licha ya kusambazwa kwenye mitandao kwa taarifa za...

 

9 years ago

TheCitizen

Former PM Lowassa fails to attend Kisumo burial after standoff with the police

Kilimanjaro Police block former Prime Minister and opposition presidential candidate Edward Lowassa from heading to the burial of CCM cadre, Peter Kisumo. Lowassa’s long convoy that included leaders from the opposition coalition (Ukawa) was stopped along the Mwanga-Usangi road before being forced to make a U-turn.  

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AHANI MSIBA WA MZEE KISUMO, KIJIJINI KWAKE USANGI, MKOANI KILIMANJARO

  Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema,Mh. Edward Lowassa, akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015.Picha na Othman Michuzi. Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mh. Edward Lowassa akiweka shada la maua katika kaburi la aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu...

 

9 years ago

Mwananchi

Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani