MAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa - Ikoma Gate, sehemu ya (Makutano-Natta km50) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo kwa wakati. Waziri Magufuli alitoa tamko hilo jana wakati akihutubia mamia ya wakazi wa mji Butiama mkoani Mara.
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Magufuli: Mawaziri wangu watafanya kazi usiku na mchana

Waziri John Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Tunduma
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, atakuwa na baraza dogo la mawaziri litakalofanya kazi usiku na mchana.
Akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni mkoani Rukwa juzi, Dk. Mgufuli alisema mawaziri wake watahudumia wananchi kwa wakati na si kukaa ofisini na kusubiri kuletewa taarifa.
“Nitateua mawaziri wachache na wenye uadilifu, kama kuna waziri...
5 years ago
Michuzi
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Usingizi wa Kutosha ni nguvu ya kufanya kazi vizuri mchana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hatari ya kufanya kazi nyakati za usiku
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Unafahamu madhara ya kufanya kazi usiku?
5 years ago
Michuzi
Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita

Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA AMTAKA MKANDARASI UJENZI BARABARA YA MABASI MWENDOKASI MBAGALA KUONGEZA KASI
RC Makonda amesema kwa muda mrefu wakazi wa Mbagala walikuwa wakipata changamoto ya usafiri ikiwemo foleni na wakati mwingine wananchi kuibiwa simu na mikoba wakiwa wanagombania usafiri...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahimizwa kufanya kazi kwa kasi ya Dk Magufuli
WAHITIMU wa kozi mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira tawi la Mbeya, wametakiwa kuendana na kasi ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwa wabunifu na wenye kutekeleza majukumu yao kwa tija zaidi.
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?
MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki
Lula wa Ndali Mwananzela